Rachel P
Senior Member
- Dec 26, 2024
- 151
- 617
Ni elimu ndiyo itaifungua nchi yetu kutoka kifungo cha ujinga na umaskini
Ni elimu ndiyo msingi wa maisha na maendeleo
Ni elimu ndilo chimbuko la viongozi weledi na wenye mafanikio nchini.
Mungu awe nanyi katika mwaka mzima huu wa masomo.
Nawapenda watoto wote wa kitanzania.
Kila la kheri.
Ni elimu ndiyo msingi wa maisha na maendeleo
Ni elimu ndilo chimbuko la viongozi weledi na wenye mafanikio nchini.
Mungu awe nanyi katika mwaka mzima huu wa masomo.
Nawapenda watoto wote wa kitanzania.
Kila la kheri.