Kila la heri timu ya Taifa, Taifa Stars

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tuko mil50+ wanaume 20+ vijana wa kiume mil15+

Tunakosa watu 22 tu makini kutuwakilisha.
 
Wazee tuelekezaneni namna ya kubet nasikia ipo pesa ya nje nje!
 
Senegal piga hao nzi wa kijani wa Stars. Pole pole alisema Stars wakishinda ni matokeo ya utekelezaji wa sera za ccm namsubiri tufungwe nione atasema stars wanatekeleza sera ya nani
 
Channel : Bein Sports direct HD1
Dakika ya 36
SENEGAL 1 - 0 TANZANIE
 
Ee Mwenyenzi Mungu uwape nguvu na ushindi wachezaji wa Timu ya Taifa Star.
Amena
 
Haya ndio mazao ya "maandalizi bora liende".......hakuna midfielder hapo, wanarukaruka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…