chung cho
Senior Member
- Mar 16, 2014
- 191
- 42
Kwanza hongereni kwa kupata ajira najua ni mwanzo mpya wenye baraka na utajiri mliokusudiwa na Mungu nyinyi ni viungo tegemezi kwa kila aliyefanikiwa na pasipo mwalimu hakuna aliyeweza kuitwa mtu.hata ukiangalia rais wa kwanza tanzania aliitwa mwalimu na mtu aliyekuja kukomboa ulimwengu yaani Yesu aliitwa mwalimu simameni imara nchi itafika mahali itatambua umuhimu wa mwalimu japo kwa sasa walishaanza kupuzia maagizo ya mwalimu nyerere lkn bado hakujaondoa umuhimu wa mwalimu hapa duniani.Mungu awafanikishe mwendako