Kila la kheri Mwaka wa Kwanza!

Kila la kheri Mwaka wa Kwanza!

Poa.angalia usiwashawishi vijana waingie M4C....bse kule kwetu UDOM ukianza kudai vya msingi wanakuita we mpinzani yaani CDM member....
 
asante! kaka ila mwaka wa kwanza wanakuja speed leo nilikuwa crdb bank ya pale mabibo hostel acha wagombane kwa sababu ya foleni du wanamzuka ila watazoea tu
 
Pazia la mwaka wa masomo wa 2012/2013 vyuoni linafunguliwa kesho ambapo UDSM inapokea wanafunzi wa mwaka wa kwanza. Kesho na muhula mzima wa kwanza patajaa vituko na ushamba wa kila aina. Ni mambo ya kawaida lakini. Cha muhimu ni kuwa vyuo vinafunguliwa na masomo kuanza. Maisha yanaendelea. Kila la kheri M4C wote!
Mkuu pale Udsl umewapokeaje?mbona hutuambii huko au unasubiri kuwapigisha lecture next week.
 
Watu bwana kuwa kuishi dar ndio mnajiona mnaishi duniani na watu wanaotoka mikoani mnawaona kama washamba flani chuo chenyewe UDsm je mngesoma columbus university si tusingekunywa maji
Na mkianza kugoma msije kutusumbua hapa
 
Back
Top Bottom