MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Kocha wa Nkana alipoulizwa anaiongeleaje timu ya Simba aka mikia alisema kwa mpira wa Tanzania anawafahamu sana sana mabingwa mara nyingi timu ya Young Africans na matajiri wa Chamazi timu ya Azam,lkn Simba hamna chochote anachokifahamu.
Kwa niaba ya mzee Akilimali na mashabiki wengine wa Jangwani, tunawatakia kila la keri na wapigeni tatu mtungi ili mechi ijayo mje na timu tu mashabiki mtawakuta huku huku.
Kwa niaba ya mzee Akilimali na mashabiki wengine wa Jangwani, tunawatakia kila la keri na wapigeni tatu mtungi ili mechi ijayo mje na timu tu mashabiki mtawakuta huku huku.