Kila la kheri Nkana FC red devils

Msije mkautelekeza Uzi kama kipind kile
 
Kila la heri Hassan Kessy
 
Uwanjani Nkana wamekaza vyama kibao hadi mikia fc washanja kimoja. Mungu ibariki Nkana
 
Kwa matokeo haya mechi ijayo pigeñi hao 0 :2
 
Nkana leo hamjatuangusha na tunaamini mechi ya amtotuanguasha pia,tunawashauri huku dar msipate tabu ya kuja na mashabiki wenu,mashabiki mtatukuta huku huku
 
Nkana leo hamjatuangusha na tunaamini mechi ya amtotuanguasha pia,tunawashauri huku dar msipate tabu ya kuja na mashabiki wenu,mashabiki mtatukuta huku huku
Hakikisheni mnavaa red and white ndio rangi zao hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…