Mkuu mm nimeshaanza kula najua Nkana hawataniangushanitafurahi sana Mnyama akifungwa... nitakula ata kuku leo
Kila la heri Hassan KessyKocha wa Nkana alipoulizwa anaiongeleaje timu ya Simba aka mikia alisema kwa mpira wa Tanzania anawafahamu sana sana mabingwa mara nyingi timu ya Young Africans na matajiri wa Chamazi timu ya Azam,lkn Simba hamna chochote anachokifahamu.
Kwa niaba ya mzee Akilimali na mashabiki wengine wa Jangwani, tunawatakia kila la keri na wapigeni tatu mtungi ili mechi ijayo mje na timu tu mashabiki mtawakuta huku huku.
Kula mpaka mavi yako. Alanitafurahi sana Mnyama akifungwa... nitakula ata kuku leo
Hakikisheni mnavaa red and white ndio rangi zao haoNkana leo hamjatuangusha na tunaamini mechi ya amtotuanguasha pia,tunawashauri huku dar msipate tabu ya kuja na mashabiki wenu,mashabiki mtatukuta huku huku