Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Makolo bwana msiende tu kuchoma viwanja vya watu
Saa 12 kamili jioni.Mechi ya Simba saa ngapi na itaonyeshwa wapi
Hivo vitendo ndio vimepelekea leo hii kila club hapa tz ikowemo yanga kubana pua na kusema TUNATAKA NAFASI NNE ZA JUU ILI TUSHIRIKI KIMATAIFA. Shwain kabisa mwanaume anavuja jasho kuibeba nchi wewe unaleta utopolo wako hapa.Kama nchi tulikua tunajua mambo ya hovyo yaliyokua yakifanywa na Simba dhidi ya timu za kigeni walizo cheza nazo Kwa Mkapa, mambo ya kupulizia madawa kwenye vyumba vya timu pinzani, kufukia makafara uwanjani n.k
Lakini kitendo Cha kwenda kuwasha moto wa kishirikina ugenini kama Nchi tumefedheheshwa kwelikweli. Niaibu ya Karne timu kupigwa fine Kwa kuhusishwa na ushirikina.
Ata kama Ipo nafasi mmoja Ili kushiriki michuano ya Caf basi iyo nafasi ni ya Yanga iko hivyo tangu ligi kuu Ina anzishwa , mambo ya nafasi ya pili na kuendelea izo hazihusiani na Yanga.Hivo vitendo ndio vimepelekea leo hii kila club hapa tz ikowemo yanga kubana pua na kusema TUNATAKA NAFASI NNE ZA JUU ILI TUSHIRIKI KIMATAIFA. Shwain kabisa mwanaume anavuja jasho kuibeba nchi wewe unaleta utopolo wako hapa.
Ondoa mwiko wako kabla haujaanza kuikosoa SIMBA SC.Makolo bwana msiende tu kuchoma viwanja vya watu
Kila la heri timu ya wenye akili timamu.Kila Mtanzani anatamani kuiona Simba S.C. ikiendelea kufanya vizuri kimataifa, kufanya vizuri kwa Simba kimataifa kumeinufaisha pakubwa sana taifa hili.
Simba imekuwa mfano mzuri wa kuigwa hapa nchini na vilabu vyote vimekuwa na shauku ya kufanya vizuri kimataifa ikiwemo klabu kongwe nchi Yanga SC.
Kesho napema klabu ya Simba itaianza safari yake kuelekea Angola kwa ndege binafsi.
Watanzania wote tuungane kuiombea mema klabu ya Simba kuelekea mchezo wake wa Jumapili huko Angola.
View attachment 2380197
Hakuna aibu tumepata Taifa letu kama timu kuanza kufundisha ukabwili wachezaj wakeKama nchi tulikua tunajua mambo ya hovyo yaliyokua yakifanywa na Simba dhidi ya timu za kigeni walizo cheza nazo Kwa Mkapa, mambo ya kupulizia madawa kwenye vyumba vya timu pinzani, kufukia makafara uwanjani n.k
Lakini kitendo Cha kwenda kuwasha moto wa kishirikina ugenini kama Nchi tumefedheheshwa kwelikweli. Niaibu ya Karne timu kupigwa fine Kwa kuhusishwa na ushirikina.
Asante kwa jibu murua kabsa hili.Hivo vitendo ndio vimepelekea leo hii kila club hapa tz ikowemo yanga kubana pua na kusema TUNATAKA NAFASI NNE ZA JUU ILI TUSHIRIKI KIMATAIFA. Shwain kabisa mwanaume anavuja jasho kuibeba nchi wewe unaleta utopolo wako hapa.
Umeandika utopolo unaofanana naoAta kama Ipo nafasi mmoja Ili kushiriki michuano ya Caf basi iyo nafasi ni ya Yanga iko hivyo tangu ligi kuu Ina anzishwa , mambo ya nafasi ya pili na kuendelea izo hazihusiani na Yanga.