demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Najua mnajua nini cha kufanya. Rekodi zetu ni bora sana dhidi ya TFF katika mechi takribani 6 zilizo pita.
Natambua kuwa tangu atie mguu kwenye ardhi ya kibongo Prof NABI hajawahi kupoteza mchezo wopwote dhidi ya TFF.
Kwa ujumla ile mechi dhidi ya Vipers inanipa kiburi cha kusema hakuna wa kutusimamisha msimu huu. Kwa namna mpira mzuri uliochezwa siku hiyo.
Najua pia mpaaka wakati huu timu ya Msomali haina muunganiko, katika kitchen party chao cha juzi walikuwa wanacheza vululu vululu pasi na kuwa na organisation.
Ninaamini tutawafanya vibaya sana TFF siku ya leo.
Niko nyuma yenu.
(Tupunguze Matusi)
Natambua kuwa tangu atie mguu kwenye ardhi ya kibongo Prof NABI hajawahi kupoteza mchezo wopwote dhidi ya TFF.
Kwa ujumla ile mechi dhidi ya Vipers inanipa kiburi cha kusema hakuna wa kutusimamisha msimu huu. Kwa namna mpira mzuri uliochezwa siku hiyo.
Najua pia mpaaka wakati huu timu ya Msomali haina muunganiko, katika kitchen party chao cha juzi walikuwa wanacheza vululu vululu pasi na kuwa na organisation.
Ninaamini tutawafanya vibaya sana TFF siku ya leo.
Niko nyuma yenu.
(Tupunguze Matusi)