Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
- Thread starter
- #21
Yaaanmmkuuuu nikoo kamati ya amani na maridhianoooo s kanisan kkkt aisee ninayokutana nayoooo nikiitwaaTule mchele, wakifika ndani watamalizana wao
Na miaka kadhaa natoa michango harusi siendi nahisi naweza kuwa shahidi wa matukioo yajayooo achatu