Tumepigwa na kitu kizito....Ndio maana nawaambia, hapo kinachofanyika ni makubaliano ya kwenye IGA, na wala sio ule mkataba wa Prof. Mbarawa na wenzake, wale jamaa ni waongo sana wasio na aibu.
IGA ndio ilisema makubaliano kati ya DPW na serikali yetu ni ya bandari zote, na hapo ndio maana ya hicho ulichoweka hapo juu.
Tofauti na ule uongo wa kwenye mkataba mpya wanaodai walimpa mwarabu miaka 30, kwa mantiki hiyo, hata hiyo miaka 30 nayo ni uongo mtupu, bandari zetu zimetolewa milele.
Una maana wabunge waliowekwa na Magufuli wote watoke?Huu ni ukweli na mchungu kwa "Waheshimiwa" ambao waligeuka "Waishiwa" wa "Hoja" na wakaamua kukifia"Chama Cha Maslahi" CCM na kuridhia uuzwaji wa Bandari zetu nchini.kwa bei ya bure kumpatia Mwarabu.
Ingawa ninajua kiuhalisia ni kwamba kuna viongozi wakubwa kitaifa ambao wameneemeka na wataendelea kuneemeka na vizazi vyao.kutokana na mkataba huu mbovu.Pia kuna ma-chawa kina Maulid kitenge,Mwijaku na Baba Revo kwa mfano wa haraka na wa wazi.
Lakini niseme tu kwa uwazi.....
kama watanzania tungejitafuta na kujitambua!
Kama sio kuiondoa
CCM- Maslahi basi walau wabunge wake kwa 75% warudishwe majumbani na kupisha kizazi kipya cha Bunge.
Hii itatoa fundisho kwa wabunge kuwa wanajitambua majukumu yao pale wanapochaguliwa
Wanakwenda kujiwakilisha wao na matumbo yao Badala ya kwenda kuwawakilisha wapiga kura waliowapigia kura huko majimboni.
Ingawa hata upinzani pia tumeyaona madudu mengi ila kwa sasa naongelea Waliouza bandari zetu kwanza watupishe kama taifa.
Pia soma hii
Ujio wa DP World: Bandari za Tanga na Mtwara Wanahusikaje? Tuliambiwa ni Dar tu tena gati tatu
Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World. Hii ni kinyume kabisa Mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati. Ieleweke kuwa suala la...www.jamiiforums.com
Nadhani pia sasa ni wakati muafaka sheria kubadilishwa ili tuweze kuwa na wagombea huru!
Maana tumeona wanasiasa wengi wazuri,jasiri na wazalendo. Wakiwekwa pembeni na mifumo ya vyama vyao.
Na hatimae kukosa kulitumikia taifa na wananchi kwa ujumla ingawa wamependwa kwa saana na raia huko Site.
Wewe Etwege rafiki na ndugu yangu....
Hili sidhani kama lina ubishi wowote maana mifano hai iko Mingi sana!
Watu kama Dk Slaa au kina Luhaga Mpina na Advocate Mwabukusi wanakosa platform ya kuwaleta kuwahudumia wananchi sababu ya huu mfumo wa ukandamizaji ndani ya vyama vya siasa nchini.
"Party Caucus".
FANYA HIVI TENGENEZA MLANGO AMBAO MASIKINI ALIYOKONDA ANAWEZA KUPITA ALAFU WASHITUKIE GAFLA WAKIPITA HAPO UTANISIFUNina wasiwasi sana na ule mkataba wao waliouita wa miaka 30, walijua tu hawa viumbe vile maisha yanavyowachapa hawakatizi hiyo miaka, lakini mimi naamini kabisa huo mkataba wa bandari kwa mwarabu ni wa milele.
Mwarabu hawezi kuwa mjinga uingie nae mkataba wa awali usioonesha ukomo, na ndani ya huo mkataba muuite binding, na bado tena ndani ya mkataba huo mwarabu aruhusiwe kuanza majukumu yake baada ya kusainiwa, halafu baadae mje kunidanganya eti mmesaini mkataba mpya na mwarabu tena waliouficha wakatuonesha cover tu wa miaka 30!.
Bado naamini kabisa, ule mkataba wa pili na mwarabu ulikuwa ni ujanja wa kina Prof. Mbarawa na wenzake wizarani, wakaamua kututengenezea mkataba feki, ndani yake wakaona waje na terms zitakazojibu yale maswali yetu ambayo mwanzo yaliwashinda kuyajibu, terms ambazo hata hatukuziona, simply kwa ule mkataba mpya walitugeuza watoto tuamini mambo ambayo hatukuyaona.
Hayo ni mawazo yako na mtazamo wako!Una maana wabunge waliowekwa na Magufuli wote watoke?
Ni jambo jema sn hilo, waende wakafagie kaburi la aliyewapa huo ubunge
Hivi dola bado.wanafanya homework hawajapata mwafaka!!?Tatizo kubwa la nchi hii kwa sasa ni Uchawa wa kizazi kipya.
Kuanzia mawaziri,RC's,DC's hadi kina Mwijaku,Kitenge na Baba Revo.
Nchi hii kama Magufuli aliwashindwa.
Tunahitaji nguvu za ziada na kujitoa akili kwa kipindi kifupi ili kufikia malengo!
Ebu imagine sasa hivi CCM imeanza mdogo mdogo kununua wapiga kura kiaina.
Mfano:
Jana tumemsikia Waziri wa maji Juma Aweso anautangazia Umma kwamba Rais SSH amewasamehe faini wananchi wote wa Tanzania waliokuwa wanadaiwa bili za maji eti kwamba warudishiwe Maji na wafanye Malipo tatartibu bila bughudha!
Je!
Hiyo imekaaje??
Kwa nini sasa ambapo tunajiandaa kama taifa kuingia kwenye chaguzi mbalimbali za kitaifa?
Akili za kimaskini ndio hizi. Kumbuka kuwa bandari zote tulizonazo zitaingia mikataba na hao DP World ni wa kwanza tu.Huu ni ukweli na mchungu kwa "Waheshimiwa" ambao waligeuka "Waishiwa" wa "Hoja" na wakaamua kukifia"Chama Cha Maslahi" CCM na kuridhia uuzwaji wa Bandari zetu nchini.kwa bei ya bure kumpatia Mwarabu.
Ingawa ninajua kiuhalisia ni kwamba kuna viongozi wakubwa kitaifa ambao wameneemeka na wataendelea kuneemeka na vizazi vyao.kutokana na mkataba huu mbovu.Pia kuna ma-chawa kina Maulid kitenge,Mwijaku na Baba Revo kwa mfano wa haraka na wa wazi.
Lakini niseme tu kwa uwazi.....
kama watanzania tungejitafuta na kujitambua!
Kama sio kuiondoa
CCM- Maslahi basi walau wabunge wake kwa 75% warudishwe majumbani na kupisha kizazi kipya cha Bunge.
Hii itatoa fundisho kwa wabunge kuwa wanajitambua majukumu yao pale wanapochaguliwa
Wanakwenda kujiwakilisha wao na matumbo yao Badala ya kwenda kuwawakilisha wapiga kura waliowapigia kura huko majimboni.
Ingawa hata upinzani pia tumeyaona madudu mengi ila kwa sasa naongelea Waliouza bandari zetu kwanza watupishe kama taifa.
Pia soma hii
Ujio wa DP World: Bandari za Tanga na Mtwara Wanahusikaje? Tuliambiwa ni Dar tu tena gati tatu
Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World. Hii ni kinyume kabisa Mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati. Ieleweke kuwa suala la...www.jamiiforums.com
Wakati unahangaika na masuala ya IGA ambayo huyaelewi vizuri TPA imeingia mkataba mwingine wa kuendesha sehemu ya bandari ya Dar pia kuna mwendeshaji mwingine ataendesha bandari ya Bagamoyo.Ndio maana nawaambia, hapo kinachofanyika ni makubaliano ya kwenye IGA, na wala sio ule mkataba wa Prof. Mbarawa na wenzake, wale jamaa ni waongo sana wasio na aibu.
IGA ndio ilisema makubaliano kati ya DPW na serikali yetu ni ya bandari zote, na hapo ndio maana ya hicho ulichoweka hapo juu.
Tofauti na ule uongo wa kwenye mkataba mpya wanaodai walimpa mwarabu miaka 30, kwa mantiki hiyo, hata hiyo miaka 30 nayo ni uongo mtupu, bandari zetu zimetolewa milele.
Hujui ulichokiandika, kwa kifupi unasambaza ujinga ukidhani kila mtu ana fikra za kijinga.Na on top of that...
Kumbe haiishii kwa Bandar ya Dar pekee bali Tanga na Mtwara pia zimekwenda kwa hio huo mkataba. Ujio wa DP Bandari za Tanga na Mtwara Wanahusikaje? Tuliambiwa ni Dar tu tena gati tatu
Wakati ukiendelea kulia usichokifahamu TPA itakuwa na waendeshaji watatu, DP World, Mdosi na wao wenyewe.Nina wasiwasi sana na ule mkataba wao waliouita wa miaka 30, walijua tu hawa viumbe vile maisha yanavyowachapa hawakatizi hiyo miaka, lakini mimi naamini kabisa huo mkataba wa bandari kwa mwarabu ni wa milele.
Mwarabu hawezi kuwa mjinga uingie nae mkataba wa awali usioonesha ukomo, na ndani ya huo mkataba muuite binding, na bado tena ndani ya mkataba huo mwarabu aruhusiwe kuanza majukumu yake baada ya kusainiwa, halafu baadae mje kunidanganya eti mmesaini mkataba mpya na mwarabu tena waliouficha wakatuonesha cover tu wa miaka 30!.
Bado naamini kabisa, ule mkataba wa pili na mwarabu ulikuwa ni ujanja wa kina Prof. Mbarawa na wenzake wizarani, wakaamua kututengenezea mkataba feki, ndani yake wakaona waje na terms zitakazojibu yale maswali yetu ambayo mwanzo yaliwashinda kuyajibu, terms ambazo hata hatukuziona, simply kwa ule mkataba mpya walitugeuza watoto tuamini mambo ambayo hatukuyaona.
Hapa ndipo unapogundua Mungu asipoingilia kati, basi hakuna Cha nchi wala raia ni maslahi ya watu binafsi...Inaumiza sanaNina wasiwasi sana na ule mkataba wao waliouita wa miaka 30, walijua tu hawa viumbe vile maisha yanavyowachapa hawakatizi hiyo miaka, lakini mimi naamini kabisa huo mkataba wa bandari kwa mwarabu ni wa milele.
Mwarabu hawezi kuwa mjinga uingie nae mkataba wa awali usioonesha ukomo, na ndani ya huo mkataba muuite binding, na bado tena ndani ya mkataba huo mwarabu aruhusiwe kuanza majukumu yake baada ya kusainiwa, halafu baadae mje kunidanganya eti mmesaini mkataba mpya na mwarabu tena waliouficha wakatuonesha cover tu wa miaka 30!.
Bado naamini kabisa, ule mkataba wa pili na mwarabu ulikuwa ni ujanja wa kina Prof. Mbarawa na wenzake wizarani, wakaamua kututengenezea mkataba feki, ndani yake wakaona waje na terms zitakazojibu yale maswali yetu ambayo mwanzo yaliwashinda kuyajibu, terms ambazo hata hatukuziona, simply kwa ule mkataba mpya walitugeuza watoto tuamini mambo ambayo hatukuyaona.
Huyu bi Kidawa anachuki na Tanganyika anataka aikomoe. Haya yanafanyika Zanzibar ipo huru haihusiki na mikatabaNa on top of that...
Kumbe haiishii kwa Bandar ya Dar pekee bali Tanga na Mtwara pia zimekwenda kwa hio huo mkataba. Ujio wa DP Bandari za Tanga na Mtwara Wanahusikaje? Tuliambiwa ni Dar tu tena gati tatu
Mchaga haachi hela kwa namna yoyote. Tunashukuru ingawa mangi mareale alitangulia un kuomba Uhuru wa Tanganyika before NYERERE Mana walimuona huyu jamaa sio. Na alivyo dada na sasa na usomi wao aliomba kaskazini pekee yaani mawaazo yao Ni kabila na bado hukohuko wanabaguana Mara huyu wa rombo or machame.Tatizo chadema ya wachaga inanunulika tofauti na chadema ya Dk Slaa
Tanzania is a failed state chini ya CCMHivi dola bado.wanafanya homework hawajapata mwafaka!!?
Zile gaberon.room numbers wakikaa wanajadili.nini!!?
Mbona mambo yapo wazi kabisa !!?now Tanzania is failed state chini ya hii awamu!!!?
Ni wasi hi bandari imekwendaa na taayari wafanyakazi wamesha ambiwa. Kukubaliana na muekezaji mpyaNina wasiwasi sana na ule mkataba wao waliouita wa miaka 30, walijua tu hawa viumbe vile maisha yanavyowachapa hawakatizi hiyo miaka, lakini mimi naamini kabisa huo mkataba wa bandari kwa mwarabu ni wa milele.
Mwarabu hawezi kuwa mjinga uingie nae mkataba wa awali usioonesha ukomo, na ndani ya huo mkataba muuite binding, na bado tena ndani ya mkataba huo mwarabu aruhusiwe kuanza majukumu yake baada ya kusainiwa, halafu baadae mje kunidanganya eti mmesaini mkataba mpya na mwarabu tena waliouficha wakatuonesha cover tu wa miaka 30!.
Bado naamini kabisa, ule mkataba wa pili na mwarabu ulikuwa ni ujanja wa kina Prof. Mbarawa na wenzake wizarani, wakaamua kututengenezea mkataba feki, ndani yake wakaona waje na terms zitakazojibu yale maswali yetu ambayo mwanzo yaliwashinda kuyajibu, terms ambazo hata hatukuziona, simply kwa ule mkataba mpya walitugeuza watoto tuamini mambo ambayo hatukuyaona.