Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
CCM haitakuwa na Mbunge hata mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani kwenye jimbo lake ni Wajinga kiasi hicho ?Ndoto za alinacha. Kwa taarifa yako Musukuma ambaye ndo alikuwa dalali namba moja Wa DPw atashinda subuhiiii
Una kelele nyingi sana, uliwahi kuisoma ile IGA na kuzielewa terms zake?Wakati ukiendelea kulia usichokifahamu TPA itakuwa na waendeshaji watatu, DP World, Mdosi na wao wenyewe.
Hapo hatujaongelea bagamoyo, Tanga na kule Mtwara, Tufike mahali tuondokane na kukariri kitu tusichokifahamu.
Kuna kila shaka wabunge walihongwa kuanzia speaker wao. Walifanya kitu kinyume kabisa na maslahi ya taifa. Walipitisha kama sheria mkataba mbaya haijawahi kutokea tanzania. Kwa kweli hawastahili kabisa kurudi bungeni.Huu ni ukweli na mchungu kwa "Waheshimiwa" ambao waligeuka "Waishiwa" wa "Hoja" na wakaamua kukifia"Chama Cha Maslahi" CCM na kuridhia uuzwaji wa Bandari zetu nchini.kwa bei ya bure kumpatia Mwarabu.
Ingawa ninajua kiuhalisia ni kwamba kuna viongozi wakubwa kitaifa ambao wameneemeka na wataendelea kuneemeka na vizazi vyao.kutokana na mkataba huu mbovu.Pia kuna ma-chawa kina Maulid kitenge,Mwijaku na Baba Revo kwa mfano wa haraka na wa wazi.
Lakini niseme tu kwa uwazi.....
kama watanzania tungejitafuta na kujitambua!
Kama sio kuiondoa
CCM- Maslahi basi walau wabunge wake kwa 75% warudishwe majumbani na kupisha kizazi kipya cha Bunge.
Hii itatoa fundisho kwa wabunge kuwa wanajitambua majukumu yao pale wanapochaguliwa
Wanakwenda kujiwakilisha wao na matumbo yao Badala ya kwenda kuwawakilisha wapiga kura waliowapigia kura huko majimboni.
Ingawa hata upinzani pia tumeyaona madudu mengi ila kwa sasa naongelea Waliouza bandari zetu kwanza watupishe kama taifa.
Pia soma hii
Ujio wa DP World: Bandari za Tanga na Mtwara Wanahusikaje? Tuliambiwa ni Dar tu tena gati tatu
Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World. Hii ni kinyume kabisa Mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati. Ieleweke kuwa suala la...www.jamiiforums.com
Haijawahi kuwa failed state chini ya CCM Bali awamu hii pekee!!Tanzania is a failed state chini ya CCM
Sasa mbona ni wote? Na kwa taarida yako sasa chama chako.Huu ni ukweli na mchungu kwa "Waheshimiwa" ambao waligeuka "Waishiwa" wa "Hoja" na wakaamua kukifia"Chama Cha Maslahi" CCM na kuridhia uuzwaji wa Bandari zetu nchini.kwa bei ya bure kumpatia Mwarabu.
Ingawa ninajua kiuhalisia ni kwamba kuna viongozi wakubwa kitaifa ambao wameneemeka na wataendelea kuneemeka na vizazi vyao.kutokana na mkataba huu mbovu.Pia kuna ma-chawa kina Maulid kitenge,Mwijaku na Baba Revo kwa mfano wa haraka na wa wazi.
Lakini niseme tu kwa uwazi.....
kama watanzania tungejitafuta na kujitambua!
Kama sio kuiondoa
CCM- Maslahi basi walau wabunge wake kwa 75% warudishwe majumbani na kupisha kizazi kipya cha Bunge.
Hii itatoa fundisho kwa wabunge kuwa wanajitambua majukumu yao pale wanapochaguliwa
Wanakwenda kujiwakilisha wao na matumbo yao Badala ya kwenda kuwawakilisha wapiga kura waliowapigia kura huko majimboni.
Ingawa hata upinzani pia tumeyaona madudu mengi ila kwa sasa naongelea Waliouza bandari zetu kwanza watupishe kama taifa.
Pia soma hii
Ujio wa DP World: Bandari za Tanga na Mtwara Wanahusikaje? Tuliambiwa ni Dar tu tena gati tatu
Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World. Hii ni kinyume kabisa Mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati. Ieleweke kuwa suala la...www.jamiiforums.com
Hujui kitu kuhusu hiyo IGA uliyoisoma, Bandari inakwenda kuwa na waendeshaji wengi ili tija iongezeke, utazisoma IGA ngapi na kuzikosoa? kwani kila mkataba mpya utakuwa na IGA inayojitegemea.Una kelele nyingi sana, uliwahi kuisoma ile IGA na kuzielewa terms zake?
Simply wewe ni msukule wa kina Pr. Mbarawa unayesubiri kulishwa pumba mpaka ushibe.
Mjinga nakuuliza tena, umewahi kuzisoma terms za kwenye IGA?Hujui kitu kuhusu hiyo IGA uliyoisoma, Bandari inakwenda kuwa na waendeshaji wengi ili tija iongezeke, utazisoma IGA ngapi na kuzikosoa? kwani kila mkataba mpya utakuwa na IGA inayojitegemea.
Tatizo mnalishwa matango pori na baadhi ya viongozi wa dini wenye hisia za ajabu juu ya uendeshaji wa DP World vitu ambavyo hawana uwezo wa kuweka ushahidi wake hadharani, ni chuki tu za uislam wa Samia zinazosumbua baadhi ya vichwa vya watu.
Mjinga ni wewe usiyejua hizo terms na mipaka yake. Kuna tajiri mwingine mdosi anapewa magati namba tisa mpaka kumi na moja, unajua terms zilizopo kwenye IGA ya mkataba wake zimekaa vip?.Mjinga nakuuliza tena, umewahi kuzisoma terms za kwenye IGA?