Kila mnyonge ana mnyonge wake

Kila mnyonge ana mnyonge wake

ongeza na hii, wanafunzi wanatakiwa kupiga picha, mwl mkuu anamtafuta mpiga picha wanakubaliana bei ni sh. 1500, mwl anatoa maagizo kwa walimu wa madarasa anawaambia picha ni 2000 kila mwanafunzi, walimu wa madarasa wanwatangazia wanafunzi kuwa kila mwanafunzi alete 2500 kwa ajili ya picha, naye mwanafunzi anaenda nyumbani anamwambia mama yake shuleni mwl amesema tupeleke 3000 kwa ajili ya picha, Naye mama anafikisha kwa Baba na kumwambia shuleni watoto wameagizwa wapeleke 4000 kwa ajili ya kupiga picha.

Baba atatoa 5000
Sasa hii ni udalali wa kisasa
 
Back
Top Bottom