kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Mtaitisha press conference ngapi mwaka huu?
Ni akili kutishia kujitoa kwa sababu Morrison amefunga?
Hivi huwa mnafuatilia ni makosa mangapi hufanywa na waamuzi mechi za wengine au mnadeka watu wazima?
Ni akili kutishia kujitoa kwa sababu Morrison amefunga?
Hivi huwa mnafuatilia ni makosa mangapi hufanywa na waamuzi mechi za wengine au mnadeka watu wazima?