Kila mtu achinje alicholisha December hii

😀😀😀mkuu wewe ni mtu wa ile kanda ambayo mwezi wa kumi na mbili kunakuwaga hakutamaniki mjini?kama ndio basi tusibishane maana ninauhakika wewe mwenyewe utatoa mbuzi uliyemlisha majani Kwa muda wa mwaka mzima achinjwe mnywe kibulu,kisusio,mtori na nyama choma.

Wakikuonesha yale makaratasi mekundu mapya mapya yanayopatikana BOT basi lazima uingie kingi.niamini
 
Wengi mtajikuta katika wakati mgumu kama mzee Abraham ,Baba yake Isaka aliokutana nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…