Kila mtu ameumbwa na nguvu zake na kuna damu huwa haziendi bure

Kila mtu ameumbwa na nguvu zake na kuna damu huwa haziendi bure

Kila mtu ameumbwa na nguvu zake za ziada ingawa tunafanana, eiza ikwa ni sababu ya kuwa kalibu kiimani na Muumba wake, au na asili ya chimbuko la mizimu yake huko alikotoka

Inawezekana umeshashuuhudia kitu kama hiki, kuna watu wakifa lazima waenda na watu kwa namna moja au nyingine, na hata kama wauaji walitaka kuficha ushahidi wa muhusika wanajikuta wanafanya vitu ambavyo wao wenyewe hawakutarajia na kila kitu kinabaki wazi, naamini huko waliko kuna watu hawaijui kesho yao itakuwaje, na wenda wakaishia kuwa wendawazimu r.i.p All Mohamed
Unamwagiwa tindikali ili usijulikane lakini unajulikana
 
Kila mtu ameumbwa na nguvu zake za ziada ingawa tunafanana, eiza ikwa ni sababu ya kuwa kalibu kiimani na Muumba wake, au na asili ya chimbuko la mizimu yake huko alikotoka

Inawezekana umeshashuuhudia kitu kama hiki, kuna watu wakifa lazima waenda na watu kwa namna moja au nyingine, na hata kama wauaji walitaka kuficha ushahidi wa muhusika wanajikuta wanafanya vitu ambavyo wao wenyewe hawakutarajia na kila kitu kinabaki wazi, naamini huko waliko kuna watu hawaijui kesho yao itakuwaje, na wenda wakaishia kuwa wendawazimu r.i.p All Mohamed
Embu zungumzia hapo ishu ya mizimu kwa upana kwenye maelezo yako..!
 
Kila mtu ameumbwa na nguvu zake za ziada ingawa tunafanana, eiza ikwa ni sababu ya kuwa kalibu kiimani na Muumba wake, au na asili ya chimbuko la mizimu yake huko alikotoka

Inawezekana umeshashuuhudia kitu kama hiki, kuna watu wakifa lazima waenda na watu kwa namna moja au nyingine, na hata kama wauaji walitaka kuficha ushahidi wa muhusika wanajikuta wanafanya vitu ambavyo wao wenyewe hawakutarajia na kila kitu kinabaki wazi, naamini huko waliko kuna watu hawaijui kesho yao itakuwaje, na wenda wakaishia kuwa wendawazimu r.i.p All Mohamed
Tena hao jamaa waliofanya hilo tukio Natamka kuanzia leo maana kinywa kinaumba, nasema hivi "Wafe wote walioshiriki kwenye hilo tukio kila aliyeshiriki kuanzia mipango mpaka waliotekeleza hilo tukio, Wafe huu mwaka wasivuke.
Nimeumia sana mzee wa watu Sura yake tu inaelezea hekima na busara.
 
Ndugu zake wa huko Tanga fanyeni namna hata Visomo kila aliyeshiriki hilo tukio waanze kufa mmoja baada ya mwingine.
Tukio la huzuni sana hili.
 
Huyu Baba kaniuma sana, nimemuwazia sijui alipitia mateso mangapi, mpaka roho ikatengana na mwili. Kila aliyehusika kwa aina yoyote ile Baba wa mbinguni, shughulika nao.
Sasa Hawa wauaji kutesa mwili Kwa ajili ya kuwa na maisha Bora na ajira, Bora Mungu anipitishie mbali na dhuluma za roho za wapendwa wengine
 
Wazee wa Tanga hawarembi tayari mipango ya kusoma Halbadir dhidi ya wauaji imekamilika na wapiga kisomo hawataki hata centi moja hapo ni siku 7 tu Chepe na hakuna njia ya kupita nyambaaaaaf
 
Naamini term hii wameingia choo cha kike,ngoja tusubirie rambirambi kwenye jeshi la polisi
 
Back
Top Bottom