Kila mtu anapenda kujisifu

The Lost Boy

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2020
Posts
248
Reaction score
311
Sio tu kuwa kila mtu anapenda kusifiwa bali kila mtu anapenda kujisifu.

Hatuoni wazee wetu wakijisifu kuwa walikuwa na akili sana darasani wakati wanasoma.

Kiongozi anaposimama jukwaani katu hajipondi bali hujisifia

Fundi kujenga, fundi kuchona, Mwalimu, daktari, wachezaji, kocha,.. kila mtu yani.

Watu pia hupenda kusifu vitu vyao. Simu, gari zuri, nyumba, uwezo wao nk

Hiyo ndio hulka ya binadamu. Chunguza utaona hili karibia kwa kila mtu hata kwako pia

Mambo ya kuzingatia unaposifu/jisifu
1. Usisifie/jisifu kupitiliza
2. Usisifie/jisifu uongo
3. Usisifu/jisifu kwa Sifa za KiMungu

Hussein Hussein
 
Sasa wahaya wapo kwenye hizo 3 za mwisho
 
Sasa ukijisifu Kwa mazuri ndo maana yake umesifu uumbaji wa Mungu. Mbona maisha ya kitanzania UHAKIKA kula kupo na kufurahia
 
Sasa ukijisifu kwa kile ambacho huna huo utakuwa ni uchizi, kuna jamaa yangu nilienda kumtembelea sehemu, eti ananiambia kama utakuwa maeneo haya muda mrefu niambie nikupangie chumba, πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ anaeniambia kuniambia chumba kigodoro anacholalia kakiweka chini hana kitanda ,shuka la kujifunika lenyewe hana, Kula yake yenyewe ya tabu..nikabaki kucheka tu
 
πŸ˜‚ anajifunika na ngumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…