Kila mtu awajibike badala kisingizio cha simba inapendelewa kuwa kichaka cha kuficha wanaofeli majukumu yao

hizi rushwa michezoni takukuru wanazichekea sijui kwa nini, watu mnaingia uwanjani mnajua kabisa refa kaongwa
 
Kambuzi na wenzie wameondolewa kwa kupata alama za chini katika uchezeshaji. Kuna tofauti kati ya kutomudu mechi na kupendelea timu moja. Tena nasema Kambuzi ameponzwa na waamuzi wasaidizi uwezo wao ulikuwa wa chini sana.

Penati zote halali kabisaaaaaaaaaaa
 
Si sawa mechi ya juzi CCM kirumba Kati ya KMC na Simba ilivurugwa . Muulize yeyote bila unazi atakuambia na hawakustahili ushindi.

Uzuri wa Simba upo midomoni mwa washabiki si uwanjani. Mechi ya Alliance walishinda halali lakini kwa KMC mwamuzi alikuwa na matokeo mfukoni. I was there and I attended all matches
 
Okwi akimnawisha mtu ni penalty lakini akikamatishwa yeye hadharani siyo penati !! Mechi Ile refa aliharibu na ndiyo maana amechukuliwa hatua mara moja.
 
Na penalty ya okwi kupanchi mpira kwa mkono si halali siyo ?!
 
Hivi nani alisema Refa alipuliza filimbi ya offside baada ya ile video.??mlijuaje kama ni offside??Mimi niliona beki wa Simba alipiga mpira ukambambatiza forward wa KMC mkononi ndio refa akapiga filimbi.Wekeni video
Kwa nini marefa wameondolewa.
Zahera kaitwa Takukuru mtaenda kuelezea wachezaji wa SINGIDA, JKT na timu nyingine nani alikuwa anawapa 10m
 
Ahahahaaaa [emoji12][emoji3][emoji23][emoji1787][emoji1787] I was there sir !! Ilikuwa aibu. Hamkustahili kushinda Ile mechi .

Kutokustahili kushinda na mpira kugonga mbavu ni vitu viwili tofauti. Marudio ya Azam TV yako very clear, mpira uligonga mbavuni mwa Okwi, ila ninyi mnalazimisha kwamba mtu alishika. Unless uniambie Azamtv wame-edit video
 
mficha uchi hazai, bila kupindisha maneno inabidi mo-dewji na magori waapewe makavu live bila chenga kuwa 'wanayo yafanya' si sawa kwa maendeleo ya football la TZ ingawa yanaweza kuwa sawa kwa simba kwa kiasi flani na kwa muda flani!
 
Kutokustahili kushinda na mpira kugonga mbavu ni vitu viwili tofauti. Marudio ya Azam TV yako very clear, mpira uligonga mbavuni mwa Okwi, ila ninyi mnalazimisha kwamba mtu alishika. Unless uniambie Azamtv wame-edit video
Mimi nilikueko stadium na je backpass unaizungumziaje ?!. Refa alifanya madudu mengi. Na alionyesha mapema anatakaje
 
HATUWEZI kuwa na timu ambayo zinapendelazembe, imekwenda kufungwa
Tuache mpira uchezwe na kama kuna malalamiko yawe ya msingi badala ya kusambaza upuuzi.
kuwa na kikosi bora hakuzuii mtu kubebwa mara ngapi tumeona madrid au barcelona wskibebwa japokuwa walikua na vikosi bora kipindi hicho? ni kweli simba ana kikoso bora hilo liko wazi lkn madhaifu madogo madogo yasifumbiwe macho hatuhitaji lawama wala visingizio kwenye ligi km mechi saa kumi basi ichezwe saa kumi na si kuharibu saikolojia za watu kwa kuichezesha mchana au asubuhi nn maana ya ratiba sasa?
 
Tumsubiri Zahera akienda na kurudi Takukuru, maana anaenda kuonesha ushahidi wote kuhusu rushwa anayowapakazia Simba, naskia anavithibitisho hadi vya walivyopewa Yanga kwenye mchezo wao dhidi ya Simba, ambavyo amevitoa kwa Haroub Kanavaro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…