Mimi ndiye director wa tamthilia ya ISIDONGOLeo nimeenda kanisani nikakuta mchungaji kapandisha mapepo...nikashindwa kushangaa asee!
Niliwahi kuolewa na Bob Marley baadae nikaachika nikaolewa na TupacMnyeti anajiuza
Leo mheshiniwa wa Magogoni nimenuona anapiga msosi kwa Mama LisheNpo na panga maandamano na uncle magu apa magogoni
Huo haujawa uongo bado kwa sababu ni kweri wewe na Barack Obama hamjakutana hivyo kwa lungha nyingine mnakosanaKila Mtu Aongee Uongo Wake Hapa Naanza Mimi Nimesoma Na Barack Obama
Samahani mkuu sijakuelewa vizuri inamaana Unataka kutumbia kuwa woote waliodanganywa hapa ni masheitwani?Uwongo ni wa shetani
Wewe ni demu wanguNiliwahi kuolewa na Bob Marley baadae nikaachika nikaolewa na Tupac
Sio viwanda ni Tanzania ya V. WonderTanzania Nchi ya viwanda.......