Kila Mtu Aweke Uongo Wake Hapa

Bomba la gesi ya mnazibei lakoneshwa ktk kiwanda cha Dangote
 
Sijawahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke yeyote, ndio sasa nataka kuanza, kama vipi ukitaka tulianzishe nifuate inbox.
 
mimi ndo nilimfanya diamond awe na lile domo tulikua tunauweka kwenye kibao alafu tunasukuma kama chapati....
 
Sijawahi kukutana na mwanaume yeyote humu JF.... sijawahi kutiana na mwanaume yeyote humu JF sijawahi kuwasiliana na mtu yeyote PM

Sijawahi kutoka nje ya Tanzania safari zangu zinaishia kariakoo kutoka kimanzichana.
Mie ni omba omba ukiwa unaisumbua sumbua PM na jumbe zako lazima nikuombe kila kitu.

Hehehehehhehee
Sina mahaba kwangu ni gwaride mwanzo mwisho hakuna kucheka wala kustorisha. Uso wa kazi muda wote hihihihihihiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ( Monkey Smile).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…