Kila Mtu Aweke Uongo Wake Hapa

Kila Mtu Aweke Uongo Wake Hapa

f6cbb405c6070d19e650c09e43b11e01.jpg
Huu uongo kiboko!
 
Mkuu wa Mkoa Wa Dar es salaam anaitwa Paulo Makonda tangu amezaliwa.
 
Nitakapokuwa Rais wa nchi hii kelelekelele zote za sasa hazitakuwepo. Itakuwa nchi ya maziwa na asali!
 
Mi ndo naongoza kwa kuwa na likes nyingi zaid kuliko members wote hapa jf
 
Kufanya kolabo na wiz kid. [emoji443] [emoji444] [emoji441]
 
Juzi natoka usingizini nagundua maisha yangu yote hadi hapa nilipofika ni ndoto sasa nimejikuta niko la nne
 
Ajira mpya 52,000/= Afya na elimu zamwagwa Leo hii
 
Ajira mpya 52,000/= Afya na elimu zamwagwa Leo hii
 
Back
Top Bottom