Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Siwezi kutafuna kahaba mm maisha yangu yotenenda tandika kwa wahaya, mda wowote unajipiga mhaya.
Natumia soksiMkuu wahisani wamepunguza msaada wa ARV , watch out bro
Hawasemi sasaOngeza kibunda Sheikh... Mkoni mtupu haulambwi....
Shida baridi inapukutaSubiria mpaka saa 6 usiku
Mjinga kweli wewe, next time uwe unatuambia wenyeji wako. Ona sasa utapigwa baridi Hadi ufe wakati hapa Ikonda hawana hata pa kwenda, chukua boda faster njoo hapa Ikonda Niko na Jamaa ana deal na mambo ya HIV AIDS atakupa PEP kabisaWakuu samahani huu uzi ni mfupi sana.
Sijaja bar kunywa bia ila nimeagiza tu kwa lengo la kuzoom yupi barmaid atanifaa na hili baridi la makete. Pesa ninayo lakini kila muhudumu yupo busy hatari kila nikigusa huyu na yule wanasema kwa Leo hapana.
Nifanyeje sasa mie nataka mda huu.
Barmed nao vp?Siwezi kutafuna kahaba mm maisha yangu yote
Mjinga kweli wewe, next time uwe unatuambia wenyeji wako. Ona sasa utapigwa baridi Hadi ufe wakati hapa Ikonda hawana hata pa kwenda, chukua boda faster njoo hapa Ikonda Niko na Jamaa ana deal na mambo ya HIV AIDS atakupa PEP kabisa
Nahisi Bro Mpwayungu anawaona kama wahudumu wa kanisabarmed nao vp?
Kama una pesa kanunue kotiWakuu samahani huu uzi ni mfupi sana.
Sijaja bar kunywa bia ila nimeagiza tu kwa lengo la kuzoom yupi barmaid atanifaa na hili baridi la makete. Pesa ninayo lakini kila muhudumu yupo busy hatari kila nikigusa huyu na yule wanasema kwa Leo hapana.
Nifanyeje sasa mie nataka mda huu.
Yeah iam wellBro Mpwayungu, uko poa?
Akikupinga nitag niongeze nondo za kumaliza huyu mwasheratiKama una pesa kanunue koti
Acha uzuzu wa kujaza server za Jf na ujinga wenu