Kila mwaka, March-April...


I am not always on leave. Last year and the year before i was working. Mwaka huu ndio i am on leave. I will try to exercise maana toka nianze leave sijaattend kabisa. But gym didn't help before.
BTW, nakupigia jioni leo ;-)
 
MziziMkavu umeniongezea wasiwasi kuliko kunituliza. Lol. But nashukuru sana, nitajaribu hizo natural medecines na nitakuletea feedback. Nashukuru.
 
Last edited by a moderator:

Amina ndugu. Nitajaribu mazoezi na dawa tuone itakavyokua
 
MziziMkavu umeniongezea wasiwasi kuliko kunituliza. Lol. But nashukuru sana, nitajaribu hizo natural medecines na nitakuletea feedback. Nashukuru.
Mkuu Roulette Usiogope na mimi pia nina matatizo ya

Ukosefu wa usingizi sasa yapata miaka 21 iliyopita haya matatizo ninayo tangu nisafiri nje lakini kitu kimoja nikitaka kulala

wakati wowote ule huwa ninalala eidha kama sipati usingizi ninatumia sana kunywa Mtindi uliotiwa sukari,au Asali vijiko 2,au

Maziwa ya moto natia sukari kijiko 1, au nakwenda chooni napasha nyayo kwenye maji ya moto basi usingizi nitaupata

ukitaka au usitake. Mimi ninakosa usingizi kwa ajili ya Mawazo ya Mtoto wangu na mke wangu yupo mbali na mimi ndio

kunako sababisha nikose usingizi. Kuna Mengi tu yanayo sababisha kukosa usingizi ninaogopa kuyaweka hapa nitakutisha

bibie. Wewe unayo Stress au Mawazo ya kitu fulani? niambie kwanini unakosa usingzi wakati unaye mume wako karibu?
 

Heshima sana kwa Mzizi Mkavu. Unajali sana afya za watu. Mungu akupe uvumilivu zaidi katika kusaidia watu. I respect you mkuu.
 

Kwa kweli sioni shida ambayo ni tofauti na shida hizi za kawaida kwa binadam. basi tu usingizi umramua kugoma
 
Orgasm is the best hypnotic. Try this first...

Possible, but not practical. It would be unfortunate if i start hunting orgasms in order to get some sleep and not for pleasure, as it is suppose to be. I want a natural sleep, as I have during other monts.
 
Possible, but not practical. It would be unfortunate if i start hunting orgasms in order to get some sleep and not for pleasure, as it is suppose to be. I want a natural sleep, as I have during other monts.

Kwanini uende kuhunt? Si umesema una mwenza?
 

kiongozi umeeleza vizuri ila sasa hapo katika taa kwa sisi waoga hatuwezi kulala taa ikiwa imezimwa sasa tutafanya nini?
hata mimi nimekuwa na tatizo la kutopata usingizi na hata nikipata basi ni wa shida sana. nitazingatia uliyoyaeleza ila la taa sijui......

kama hutajali unaweza kutueleza zaidi madhara ya kulala na taa mbali na haya uliyoyaeleza?
 
Bibie.@Iron Lady Unaweza kulala na Taa lakini yenye muangaza mdogo sio mkubwa taa ya rangi ndio nzuri yenye muangaza hafifu. Usilale na taa yenye Muangaza mkubwa inakukatisha usingizi haifai kutumia taa yenya muangaza mkubwa huo ndio ushauri wangu.
 
I may sound unconventional and controversial, but whilst you're searching for appropriate medication, try to accept the situation. This is probably the hardest thing to do, but it can be the most valuable lesson of all.

Bad things happen to us, but they are nothing compared to the bad things we do to ourselves. We make things worse by our constant value judgments ("I should be asleep in every March –April of each year"), our ceaseless comparison of ourselves to others ("my man/woman is asleep, why aren't I?"), and our unrelenting standards for ourselves ("If I don't get eight hours' sleep in March-April, then I may have a serious problem).

Acceptance is about seeing those statements for what they are: unhelpful interventions in what is already a tricky situation. We are who we are, and no amount of fretting – particularly at 3.30 in the morning – will help.

What if instead we were able to say: "I'm not sleeping too well at the moment, but it won't hurt me anyway. My body will sleep when it needs to again. I can always catch up."

You can safely say that every time you lie awake agonising that if you don't sleep it means you're not as well as you think you're, you will not sleep. Whereas if every night you lie and think you're what you're and there is little you can do about it, sleep comes may more easily.

Also, stop thinking. It's really hard thing to do. But if you can just stop the mind from broadcasting live its peculiar mix of propaganda, impression, recollection, projection, and apprehension, you invite in a nothingness that is a close cousin of sleep.
 

Mama... angalia kama uko happy na familia yako au partner wako au unashindana na pride tu

yawezekana tatizo ni wewe na wala sio vilivyokuzunguka
 
Pole sana dada, fuata ushauri wa wadau hapo juu.

Mie namshukuru Mungu huwa nikikaa kimya na mpweke kwa muda mfupi tu usingizi tayari. Napenda kulala na ninapata usingizi sana. Huwa sichoki kulala aisee. I wish tunadilishane kwa muda uenjoy mausingizi yangu
 
Je kulala sana kuna madhara? MziziMkavu
Mkuu Sabry001
Usingizi kwa muda mrefu husababisha ugonjwa wa kisukari

Watu ambao kulala sana au kulala kidogo sana wako katika hatari ya

kupatwa na ugonjwa wa kisukari , kwa kuwa mbaya zaidi glucose assimilation .

Wanasayansi wa Chuo Kikuu cha hitimisho ya Shule ya madaktari Madawa nchini Ufaransa,

baada ya kuchambua tabia ya 276 kwa kipindi cha miaka sita wasema hivyo.

Kulala kusizidi zaidi ya masaa 8 kwa siku.@
Roulette
 
Roulette, haraka waone na watu wa sakatrik, ni dalili ya kichaa shosti, linaanza taratibu for years then it breaks out.
 
Last edited by a moderator:
Mie miezi hiyo uliotaja huwa napata matatizo ya kuwashwa macho,tena nakumbuka siku moja nilikua namsimulia dada mmoja msomi sana tu alicheka sana akasema hakuna kitu kama hicho,wakati nina tatizo hilo kwa zaidi ya miaka 20,anyway nimepata faraja kuwa kumbe kuna watu ambao wanaumwa kulingana na miezi ya mwaka,pole sana ngoja tuangalie ma-doctor wa JF wanasemaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…