Roulette
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 5,568
- 5,386
- Thread starter
- #21
Pole sana mamito.
Kama inatokea wakati uko likizo, maybe you dont get tired enough? or else you become too tired (siwezi kulala nikiwa nimechoka sana). Gym inaweza kukusaidia sana ama swimming for that matter. Lakini excitement ama kuwa anxious kunaweza kukuzuia kulala pia. Try to calm down and take a shower just before bed. A comic movie onbed ( dont know how healthy that is) might help too.
Otherwise inabidi uje mie na Paw tukufanyie unasihi, lol
I am not always on leave. Last year and the year before i was working. Mwaka huu ndio i am on leave. I will try to exercise maana toka nianze leave sijaattend kabisa. But gym didn't help before.
BTW, nakupigia jioni leo ;-)