Mr Great Thinker
New Member
- Feb 13, 2014
- 1
- 0
1. Kuripoti
tarehe 01/04/2014 kwenye ofisi za Wakurugenzi wa Halmashauri kwa ajili
ya kupangiwa vituo vya kazi na kuanza kazi.
2. Mwalimu atatakiwa kuwa na vyeti vyake halisi vyachuona Sekondari
3. Walimu ambao ni waajiriwa wa Serikali waliokuwa wanajiendeleza kieli
mu wanatakiwa kurudi kwa waajiri wao ilikuendelea na kazi
4. Fedha za kujikimu za siku saba (7)
na nauli kwa walimu wapya zimetumwa katika Halmashauri walikopang
wa walimu. Hivyo, kila mmoja aripoti katika Halmashauri aliyopangwa
5. Mwalimu ambaye hataripoti ifikapo tarehe 10/04/2014 hatapokelewa
tena na atakuwa amepoteza ajira yake.:mod:
tarehe 01/04/2014 kwenye ofisi za Wakurugenzi wa Halmashauri kwa ajili
ya kupangiwa vituo vya kazi na kuanza kazi.
2. Mwalimu atatakiwa kuwa na vyeti vyake halisi vyachuona Sekondari
3. Walimu ambao ni waajiriwa wa Serikali waliokuwa wanajiendeleza kieli
mu wanatakiwa kurudi kwa waajiri wao ilikuendelea na kazi
4. Fedha za kujikimu za siku saba (7)
na nauli kwa walimu wapya zimetumwa katika Halmashauri walikopang
wa walimu. Hivyo, kila mmoja aripoti katika Halmashauri aliyopangwa
5. Mwalimu ambaye hataripoti ifikapo tarehe 10/04/2014 hatapokelewa
tena na atakuwa amepoteza ajira yake.:mod: