Kila mwanadamu ana Mungu ndani ya nafsi yake

Kila mwanadamu ana Mungu ndani ya nafsi yake

shavu kubwa

Member
Joined
Jun 13, 2016
Posts
25
Reaction score
32
Habarini ndugu wana jamii forum, mimi si mwenyeji sana na pengine ni mara yangu ya kwanza kupost kwenye jukwaa hili:

Kwa kuanza: kuna dhana ya watu wengi hivi sasa kuishi kwa kutegemea miujiza kuliko kufanya kazi na kujiletea maendeleo, hii nimeiona hata pale mikutano ya kiinjili inapotangazwa watumishi wengi wanapenda kusema maneno haya.

Karibu kwenye mkutano flani upokee muujiza wako, je umeachika na mme na unahitaji arudi, je umehangaika kutafuta kazi bila mafanikio, nk.

Ambapo humo pote wanagusa matatizo yaleyale ya mwanadamu ya kila siku, sasa tuliowengi kwa ufinyu wa fikra kila tukiona mkutano wa injiri tunakimbilia kwa kutegemea miujiza, ukisikia kwingine tena unakimbilia ukitegemea maisha yatabadilika kwa mfumo huo.

Kiukweli na uhalisia ni kwamba mungu yupo ndani ya kila mmoja wetu ni kitendo tu cha wewe kutenga muda wako vizuri na kumuomba hata hapo hapo nyumbani kwako utaona majibu yake, mungu hajawaki kutoka ndani yetu na kukimbilia kwa mtu mmoja tu ili tuwe tunamfuata huko kutatua matatizo na shida zetu.

Kitu kingine cha ziada ni kuhusu hii mikutano ya injili ya siku hizi ambapo wameingia na matapeli humohumo ambao wanatumia neno la mungu kwa kujinufaisha na bado watu hawastuki, mi nafikiri watu hao wengi wao ni wafinyu wa mawazo wanaofikiri maisha yao yatabadilika kwa kwenda kumtafuta mungu kwa mtu mwingine wakati wewe mwenyewe unae na ndio huyo huyo, lakini pia watu hawajishughulishi katika kutafuta zaidi na inafikia watu wanashinda tu kanisani from monday to sunday jamani tubadilike.

Kitu cha kujiuliza ulishawahi kumuona kilema unaemfahamu kabisa jirani yako kaenda kuombewa akapona ulemavu wake, mi naona vingi vinavyofanyika katika mikutano baadhi ni viini macho tu na watu wengi wanakuwa wameandaliwa tayari

Ukweli kabisa mungu unae wewe mwenyewe ndani yako, ukitaka kujua amka usiku wa manane wakati ambao kichwa kinakuwa kimetulia kabisa na hakuna kelele ya aina yoyote halafu jongea mbele za mungu kwa njia ya maombi na utaona majibu yako katika kila unaloomba, fanya hvyo kila wakati.

Itaendelea
Nakaribisha maoni zaidi ya wadau
 
Still waiting chief....somo zuri.
 
Hao wanafanya ambacho hawakutumwa.
Hajawahi kutumwa mtu mmoja kuponya wenzake bali walitumwa kuhubiri neno na kuwa Ufalme wa Mungu Uko karibu (Kitu ambacho hawafanyi). Katika kazi hiyo Hiyo miujiza Ni ishara Zitakazo ambatana na Kazi waliyopewa ila Sio kazi waliyotewa.

"Kila mtu anamungu" = "A CALL TO SELF WORSHIP".
Jaribu kutoa basis ya hii argument yako ukiambatanisha na reliable evidence
 
Mungu ni mwanadamu na mwanadamu ni Mungu huyohuyo.

Uumbaji ulianzia ndani yetu na unaendelea ndani yetu.

Hapo ulipo sasa wewe ni Mungu. Kila kitu huanza ndani yetu
 
Kwa haya yanayotokea sasaivi, Ningeomba Mungu Adhihirishe utukufu wake japo kwa dakika moja tu
 
Habarini ndugu wana jamii forum, mimi si mwenyeji sana na pengine ni mara yangu ya kwanza kupost kwenye jukwaa hili:

Kwa kuanza: kuna dhana ya watu wengi hivi sasa kuishi kwa kutegemea miujiza kuliko kufanya kazi na kujiletea maendeleo, hii nimeiona hata pale mikutano ya kiinjili inapotangazwa watumishi wengi wanapenda kusema maneno haya.

Karibu kwenye mkutano flani upokee muujiza wako, je umeachika na mme na unahitaji arudi, je umehangaika kutafuta kazi bila mafanikio, nk.

Ambapo humo pote wanagusa matatizo yaleyale ya mwanadamu ya kila siku, sasa tuliowengi kwa ufinyu wa fikra kila tukiona mkutano wa injiri tunakimbilia kwa kutegemea miujiza, ukisikia kwingine tena unakimbilia ukitegemea maisha yatabadilika kwa mfumo huo.

Kiukweli na uhalisia ni kwamba mungu yupo ndani ya kila mmoja wetu ni kitendo tu cha wewe kutenga muda wako vizuri na kumuomba hata hapo hapo nyumbani kwako utaona majibu yake, mungu hajawaki kutoka ndani yetu na kukimbilia kwa mtu mmoja tu ili tuwe tunamfuata huko kutatua matatizo na shida zetu.

Kitu kingine cha ziada ni kuhusu hii mikutano ya injili ya siku hizi ambapo wameingia na matapeli humohumo ambao wanatumia neno la mungu kwa kujinufaisha na bado watu hawastuki, mi nafikiri watu hao wengi wao ni wafinyu wa mawazo wanaofikiri maisha yao yatabadilika kwa kwenda kumtafuta mungu kwa mtu mwingine wakati wewe mwenyewe unae na ndio huyo huyo, lakini pia watu hawajishughulishi katika kutafuta zaidi na inafikia watu wanashinda tu kanisani from monday to sunday jamani tubadilike.

Kitu cha kujiuliza ulishawahi kumuona kilema unaemfahamu kabisa jirani yako kaenda kuombewa akapona ulemavu wake, mi naona vingi vinavyofanyika katika mikutano baadhi ni viini macho tu na watu wengi wanakuwa wameandaliwa tayari

Ukweli kabisa mungu unae wewe mwenyewe ndani yako, ukitaka kujua amka usiku wa manane wakati ambao kichwa kinakuwa kimetulia kabisa na hakuna kelele ya aina yoyote halafu jongea mbele za mungu kwa njia ya maombi na utaona majibu yako katika kila unaloomba, fanya hvyo kila wakati.

Itaendelea
Nakaribisha maoni zaidi ya wadau
 
Habarini ndugu wana jamii forum, mimi si mwenyeji sana na pengine ni mara yangu ya kwanza kupost kwenye jukwaa hili:

Kwa kuanza: kuna dhana ya watu wengi hivi sasa kuishi kwa kutegemea miujiza kuliko kufanya kazi na kujiletea maendeleo, hii nimeiona hata pale mikutano ya kiinjili inapotangazwa watumishi wengi wanapenda kusema maneno haya.

Karibu kwenye mkutano flani upokee muujiza wako, je umeachika na mme na unahitaji arudi, je umehangaika kutafuta kazi bila mafanikio, nk.

Ambapo humo pote wanagusa matatizo yaleyale ya mwanadamu ya kila siku, sasa tuliowengi kwa ufinyu wa fikra kila tukiona mkutano wa injiri tunakimbilia kwa kutegemea miujiza, ukisikia kwingine tena unakimbilia ukitegemea maisha yatabadilika kwa mfumo huo.

Kiukweli na uhalisia ni kwamba mungu yupo ndani ya kila mmoja wetu ni kitendo tu cha wewe kutenga muda wako vizuri na kumuomba hata hapo hapo nyumbani kwako utaona majibu yake, mungu hajawaki kutoka ndani yetu na kukimbilia kwa mtu mmoja tu ili tuwe tunamfuata huko kutatua matatizo na shida zetu.

Kitu kingine cha ziada ni kuhusu hii mikutano ya injili ya siku hizi ambapo wameingia na matapeli humohumo ambao wanatumia neno la mungu kwa kujinufaisha na bado watu hawastuki, mi nafikiri watu hao wengi wao ni wafinyu wa mawazo wanaofikiri maisha yao yatabadilika kwa kwenda kumtafuta mungu kwa mtu mwingine wakati wewe mwenyewe unae na ndio huyo huyo, lakini pia watu hawajishughulishi katika kutafuta zaidi na inafikia watu wanashinda tu kanisani from monday to sunday jamani tubadilike.

Kitu cha kujiuliza ulishawahi kumuona kilema unaemfahamu kabisa jirani yako kaenda kuombewa akapona ulemavu wake, mi naona vingi vinavyofanyika katika mikutano baadhi ni viini macho tu na watu wengi wanakuwa wameandaliwa tayari

Ukweli kabisa mungu unae wewe mwenyewe ndani yako, ukitaka kujua amka usiku wa manane wakati ambao kichwa kinakuwa kimetulia kabisa na hakuna kelele ya aina yoyote halafu jongea mbele za mungu kwa njia ya maombi na utaona majibu yako katika kila unaloomba, fanya hvyo kila wakati.

Itaendelea
Nakaribisha maoni zaidi ya wadau
 
Kweli mkuu wala haihitaji akili nyingi sana kufikiri ahsante sana kwa kutukumbusha
 
Kweli mkuu wala haihitaji akili nyingi sana kufikiri ahsante sana kwa kutukumbusha
 
nguvu za Mungu imetolewa kwa karama kuna karama ww unayo mwenzako hana vilevile nguvu ya kiroho tunatofoutiana sna
 
Nna mengi ya kuandika juu ya hili, tatizo nakosa wasaa wa kufanya hivyo.

Staki kusema kuwa wewe mwenyewe ni mungu wakati sina wasaa wa kufanya nitakachosema. Acha nipite tu hivi.
 
Back
Top Bottom