Ni kweli,sema tu hua wanadamu wana kauvivu ka kumuendea MUNGU kwa kumaanisha.imani inakua haba kwa sababu unaomb kwa usiyemuona kwa macho na kushindwa kuendelea kukaza buti ktk maombi,kuna mtu akiahidiwa kwenda kwenye uzinzi jioni ya saa 5:00pm anakua na uzingativu wa ahadi hyo na atawahi kufika eneo la tukio hata saa 4:30pm.ukiacha hayo machafu na ukajenga kukaa mbele za MUNGU bila kukosa kwa imani utapata majibu ya unachomuomba,sema tumetingwa sana na mambo yanayopita yasiyo na faida sana.