Elections 2010 Kila mwanaJF anayependa mabadiliko, zingatia haya...

Elections 2010 Kila mwanaJF anayependa mabadiliko, zingatia haya...

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,346
Uchaguzi umefanyika na kwa kiasi fulani umetoa matokeo yanayoonyesha wanaharakati nchini wanaendelea kuimarika. Lakini najua hii haikuwa target yetu. Unadhani nini kifanyike ili mapungufu ya sasa yapunguzwe kipindi kijacho?

Sihitaji mjadala kwa sasa. Baada ya harakati za uchaguzi, nitaileta hii thread hapa tujadili. Nimeileta leo ili watu mpate muda wa kutafakari. Najua huu sio wakati mzuri kujadili hili kwani wengi wetu tumekabwa na hasira na jazba kwa yanayofanywa na CCM...
 
Back
Top Bottom