Kila mwanamke ana jamaa ambaye anashiriki naye mapenzi bila kumpa chochote

Sio upendo Hana akili timamu huyo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Labda uyo wako [emoji23]
Soph....

huyo watatu ndo unaniibia hela unapeleka nihurumie najua mwezangu hana stress Yuko stress free afya hua mnapima Mana akina Josephine nisije nikawaacha pekeyao na chuo hawajahitimu[emoji28]
 
Soon na ww utaliwa Tigo
 
Hapa ndipo unapojua kwamba hakuna cha Peke yako mkeo nami pia ni mke wangu
 
[emoji38][emoji38][emoji38]πŸ₯±πŸ₯±
uongo kweli au kweli au uwongo kweli eee mnatusema Sana muda mingine mnasema amehamia dodoma kikazi yaani mkoa wadodoma umekua mtetezi kwa wanandoa chepukaji pia mnasema tunaumwa pingili za migongo
 
Hahaha
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…