Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Kijana hakuna kitu rahisi sana kama kutongoza.

1. Jenga urafiki na unayempenda kikawaida kabisa bila kumwonesha nia yoyote ya kutaka mapenzi naye

2. Ukishamteka kiakili kwa kumsoma kisaikolojia tafuta muda utoke naye kwenda mahala pa faragha kama garden au beach afu mnapokula au kunywa jaribu kuwa naye karibu zaidi(romantically) kisha msifie jinsi alivyoumbika na kumuahidi utavyokuwa unamthamini ukibahatika kuwa naye.
3. Akikukubalia mpe uhuru akuahidi lini mtaenda kupeana raha lakini asilimia kubwa wengi humalizaga pale pale wakati wa romance kwa kugusa sehemu hamasishi kihisia kwa Wanawake.
 
Kijana hakuna kitu rahisi sana kama kutongoza.

1. Jenga urafiki na unayempenda kikawaida kabisa bila kumwonesha nia yoyote ya kutaka mapenzi naye

2. Ukishamteka kiakili kwa kumsoma kisaikolojia tafuta muda utoke naye kwenda mahala pa faragha kama garden au beach afu mnapokula au kunywa jaribu kuwa naye karibu zaidi(romantically) kisha msifie jinsi alivyoumbika na kumuahidi utavyokuwa unamthamini ukibahatika kuwa naye.
3. Akikukubalia mpe uhuru akuahidi lini mtaenda kupeana raha lakini asilimia kubwa wengi humalizaga pale pale wakati wa romance kwa kugusa sehemu hamasishi kihisia kwa Wanawake.
Nishafanya hii mara kadhaa na sio kama sijui kutongoza
 
mkuu hatukuamini weka pic.kwanza ndio tuanzie hapo
 
Nishafanya hii mara kadhaa na sio kama sijui kutongoza
Basi jenga urafiki sana na mabaharia waliobobea ambao husifika kwa ukicheche ukijifunza mbinu anazotumia kupata Wanawake wengi kwa wakati wowote anaotaka na bila shaka utafanikiwa tu sababu "ndege wafananao huruka kundi moja"
 
Hapa sio sawa mkuu
sawa kaka ila kitu kimoja jaribu kuwa smart yaani sio kuigiza hapana uanze (kama sio) na pia kwenye kuongea uwe na stahi usilazimishe msichana kama akikwambia nitakujibu na pia uwe unamfuata msichana ana kwa ana kama hamko umbali ambao hamuwezi kukutana
mimi sii mzoefu kana kwamba ninafuata wanawake wengi hapana ila nilichoona kitu cha kwanza msichana au mwanamke ana kuhukumu kwa muonekano wako wa kwanza kwake na unavyo ongea
 
Mkuu unabalaa,ila nishajaribu fanya haya geto bila papara yoyote ila sikuambulia kitu
Unapataje uchi bila kuutafuta
Fanya akuamini... kwa vitendo, care, penda anachopenda, msaidie... kuwa mtulivu unavyokuwa nae, usiwe mkweli 100 per cent - usiongope, usiwe over emotion juu ya mwili wake ingawa unavyoongea au kutembea nae jaribu kumshika mkono ku reduce distance (NB- usimlazimishe), be normal usi pretend wala usijikweze.
Usikurupuke kutongoza tongoza tu, wengine hawapendi kusikia hayo maneno after all wameshasikia sana hivyo hakuna jipya what is matter huwe na approach yako.
Sijui umenisikia au niongeze sauti.
Kwani mkuu Zero IQ anafanyaje kwenye kiwanda chake cha kuzichakata, hatupe uzoefu.
 
Fanya akuamini... kwa vitendo, care, penda anachopenda, msaidie... kuwa mtulivu unavyokuwa nae, usiwe mkweli 100 per cent - usiongope, usiwe over emotion juu ya mwili wake ingawa unavyoongea au kutembea nae jaribu kumshika mkono ku reduce distance (NB- usimlazimishe), be normal usi pretend wala usijikweze.
Usikurupuke kutongoza tongoza tu, wengine hawapendi kusikia hayo maneno after all wameshasikia sana hivyo hakuna jipya what is matter huwe na approach yako.Sijui umenisikia au niongeze sauti.
Kiufupi hiyo sio dawa....
Mabaharia tumeshajua shida yake huyu atakua na nuksi tuuu
 
Back
Top Bottom