monta
JF-Expert Member
- May 6, 2014
- 1,271
- 1,803
- Thread starter
-
- #341
Nipe hizo Mbinu mkuuNingekupa ujanja nadhani wahuni mnaita hvyo ila Mimi naita counseling tatizo utakufa na magonjwa ya zinaa zambi utakazochuma tutagawana trust me hii njia najuta kujifunza my friend physiologist ni. Chinese Fulani hivi nlkutana nae Thai yaani mpaka tukakutana ni movie tosha [emoji23] ...sku moja nitaandika uzi safari yangu ya maisha iliyojaa vioja na vituko alinifundisha namna ya ku socialize na kuingia kweny akili ya mtu maana we apo unayo afadhali maana niliamua niwe
Apathy... Maana nlkuwa na ugonjwa wa autism spectrum disorder ..difficult in communicating we acha tu
But Now nipo good nimezchoka papuchi ni bora uwe hvyo zambi ya zinaa ikukimbie na magonjwa pia papuchi iliniachisha pombe na ndo hyohyo imenifanya nimekuwa mlemvi mmoja trust me
Jikubali utampata mtu.. Ndege wafananao huruka pamoja