Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Nipe hizo Mbinu mkuu
 
Ni kweli nawafuata wengi pasua kichwa,ila confidence ninayo ya kutosha mkuu
 
ukirudi likizo nitonye nikupe namba fulan za mademu hapo UDSM na NIT ambao hawana boom tuone kama watakataa !!!!
Nishamaliza chuo mkuu,ila wakifungua chuo nitarejea kwa hili
 
Wengine tunatamani tuwapunguze na mwingine hana kabisa na sio kwamba hataki hapana bali hawamtaki. Nyi wadada acheni hiyo doublestandard
 
tupe maujanja mkuu
 
Hapa akishindwa basi tena
 
Ushauri Kama kuna mwana j.f naye kapitia hili janga maana kuna rafiki angu ana hilo gundu muda sasa kaniomba ushauri hajui afanyaje wakati mimi kila siku napata wapya
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…