Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nzuri mkuu,ila nadhani wapo kadhaa nilitumia hii mbinu ila haikuzaa matundaPole!
Mbona ni simple tu!
Kumuimbisha mwanamke huwa siongei nae maneno mengi hadi povu linanitoka.
Huwa natumia maneno matatu tu kumjulisha kuwa namhitaji halafu napotezea.
Siku nikimuhitaji namuita aje kiwanja, tunapiga stori mbili tatu kisha namshika mkono kuelekea chumbani. Mchezo unaisha.
Kimuonekano ni wa kawaida sana, ila ni mtanashati na ni mkimya kiaina. Kutokana na ukimya wangu na utanashati, mtaani huwa naonekana nina maringo, kumbe ndivyo nilivyo! Hakuna demu huwa anaruka. Jaribu na hii labda itakusaidia.
Ukiamini kwamba umelogwa basi utalogwa kweli.Yawezekana mwanang maana ukoo wangu wachawi vibaya mno
Wanasemaga ni "gundu" dawa yake ni kuoga na magadi au maji ya bahari.
Nakuja pm kuona picha kwanza mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hilo swali ungejiuliza wewe na nafsi yakoNimeitoa wapi
Watumie miamala bila kusahau hela ya kutolea.Wakuu nipo katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu, ipo hivi:
Mimi ni kijana mwenye elimu ya Bachelor degree toka jalalani. Toka naanza elimu yangu ya kidato cha 5 mpaka sasa ninapitia wakati mgumu sana sana ambao sidhani kama wenzangu mnapitia. Msichana yeyote nitakaye mtongoza basi lazima anikatalie hata awe wa kawaida. Kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita nimetongoza zaidi ya wasichana 35 na wote wamenikatalia na ikitokea mmoja ameonesha nia basi kwenye kufanya mapenzi atakua mkali na kusema hana hisia na mwishowe habari inaishia hapo.
Hadi jana nimetongoza na jibu limekua lile lile NO NO NO. Nimejaribu mbinu zote hadi za pesa lakini wapi hadi pale jalalani penye maua mengi na shida nyingi kwa hayo maua ya kifedha lakini imeshindikana. Sina tatizo lolote kimuonekano hilo nawahakikishia na kama mtu anahitaji kufahamu hilo anicheki pm.
Naombeni msaada wenu wana JF wote kwa ujumla kama kuna mtu kapitia hili janga na alilimaliza vipi maana sasa naona hali imekua mbaya zaidi.