Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Hahahahaha hutageuka kichaa Mkuu bali huko ni kutoa nuksi na Totos zitaanza kukufukuzia weye kwa kasi ya kutisha [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Hahahha,inahitaji moyo kufanya hii
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Pole!
Mbona ni simple tu!
Kumuimbisha mwanamke huwa siongei nae maneno mengi hadi povu linanitoka.
Huwa natumia maneno matatu tu kumjulisha kuwa namhitaji halafu napotezea.
Siku nikimuhitaji namuita aje kiwanja, tunapiga stori mbili tatu kisha namshika mkono kuelekea chumbani. Mchezo unaisha.

Kimuonekano ni wa kawaida sana, ila ni mtanashati na ni mkimya kiaina. Kutokana na ukimya wangu na utanashati, mtaani huwa naonekana nina maringo, kumbe ndivyo nilivyo! Hakuna demu huwa anaruka. Jaribu na hii labda itakusaidia.
Hii nzuri mkuu,ila nadhani wapo kadhaa nilitumia hii mbinu ila haikuzaa matunda
 
Ningekupa ujanja nadhani wahuni mnaita hvyo ila Mimi naita counseling tatizo utakufa na magonjwa ya zinaa zambi utakazochuma tutagawana trust me hii njia najuta kujifunza my friend physiologist ni. Chinese Fulani hivi nlkutana nae Thai yaani mpaka tukakutana ni movie tosha [emoji23] ...sku moja nitaandika uzi safari yangu ya maisha iliyojaa vioja na vituko alinifundisha namna ya ku socialize na kuingia kweny akili ya mtu maana we apo unayo afadhali maana niliamua niwe

Apathy... Maana nlkuwa na ugonjwa wa autism spectrum disorder ..difficult in communicating we acha tu

But Now nipo good nimezchoka papuchi ni bora uwe hvyo zambi ya zinaa ikukimbie na magonjwa pia papuchi iliniachisha pombe na ndo hyohyo imenifanya nimekuwa mlemvi mmoja trust me

Jikubali utampata mtu.. Ndege wafananao huruka pamoja
 
Pitia na kwangu hata Mimi npo kama mtoa mada [emoji5]
Wanasemaga ni "gundu" dawa yake ni kuoga na magadi au maji ya bahari.

Nakuja pm kuona picha kwanza mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mkuu kuna mademu tunaowaita "nataka demu anayejielewa" nadhan hawa ndio wew unawataka. Trust me hawa mademu ni wasumbuf balah, cha msingi zama Berber shop moja kali na uende kunyoa nywele hapo mara nying kisha chukua zigo. Trust me, kila demu anauza sema mbinu tu , ndio zipo tofauti. Tafuta demu wa mtaani, achan na wa CHUO. Ila nawew itakuwa una jisikia sikia hivi, au unapigaga puli nayo inaleta uvivi kutongoza.
 
ukirudi likizo nitonye nikupe namba fulan za mademu hapo UDSM na NIT ambao hawana boom tuone kama watakataa !!!!
 
Wakuu nipo katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu, ipo hivi:

Mimi ni kijana mwenye elimu ya Bachelor degree toka jalalani. Toka naanza elimu yangu ya kidato cha 5 mpaka sasa ninapitia wakati mgumu sana sana ambao sidhani kama wenzangu mnapitia. Msichana yeyote nitakaye mtongoza basi lazima anikatalie hata awe wa kawaida. Kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita nimetongoza zaidi ya wasichana 35 na wote wamenikatalia na ikitokea mmoja ameonesha nia basi kwenye kufanya mapenzi atakua mkali na kusema hana hisia na mwishowe habari inaishia hapo.

Hadi jana nimetongoza na jibu limekua lile lile NO NO NO. Nimejaribu mbinu zote hadi za pesa lakini wapi hadi pale jalalani penye maua mengi na shida nyingi kwa hayo maua ya kifedha lakini imeshindikana. Sina tatizo lolote kimuonekano hilo nawahakikishia na kama mtu anahitaji kufahamu hilo anicheki pm.

Naombeni msaada wenu wana JF wote kwa ujumla kama kuna mtu kapitia hili janga na alilimaliza vipi maana sasa naona hali imekua mbaya zaidi.
Watumie miamala bila kusahau hela ya kutolea.
Wakikataa hili, katambike Sumbawanga
 
Back
Top Bottom