Kila mwanaume anayepigwa tukio anakuja kulia lia humu. Huu uchuro!

Kila mwanaume anayepigwa tukio anakuja kulia lia humu. Huu uchuro!

mimiamadiwenani

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
5,718
Reaction score
7,784
Kwanza ijulikane wazi kuwa namba unayoiona wewe ni 9, mwenzio akikaa upande mwingine anaiona 6.

Kama mtu akiingia humu na kichwa chepesi, ataanza kuwachukia wanawake wote kwa visa vya humu ndani, ambavyo vingine ni vya kubumba.

Kwa utafiti wangu rasmi, mwanamke anayepakwa matope humu JF ni imaginary mostly, si halisi. Ni wa kwenye movie za hollywood. Wanawake real wa kitanzania ni tofauti kabisa na wale ambao wanaume wa JF wanawalalamikia.

Wewe kama umezinguliwa na wa kwako usitake kujumlisha na kutaka siye wengine tuwachukie wanawake kama wewe.

Halafu humu JF wanaume wengi mnaonekana mnashinda kwenye movie mno, hasa za Hollywood. Kwa sababu criteria mnazodai wanawake wanazo ni za kwenye movie mostly. Ishini kwenye uhalisia😁.

Wewe ni lofa, umepigwa na kitu kizito na ugoi goi wako, kausha! Mambo za kuja kulia lia humu ukutaka wengine nao wawachukie wanawake kama wewe, si uungwana.

Acheni kukesha mnaangalia Hollywood's love story movies! Zinawaharibu!
 
Samahani mkuu....
Unawatetea hawa wanawake ambao wakiamka asubuhi wanawasha data badala ya kuwasha moto...🤔
 

Attachments

  • JamiiForums1325020449.jpeg
    JamiiForums1325020449.jpeg
    43 KB · Views: 6
Hatufundishi watu kuchukiana humu, tunashare experience kutoa somo kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Kwahiyi dhana ya mchumba hasomeshwi haipo? Singo maza hawapo mtaani wapo kwenye muvi?

Nasisitiza hatufundishani chuki humu, za kuambiwa changanya na zako.
 
Kwanza ijulikane wazi kuwa namba unayoiona wewe ni 9, mwenzio akikaa upande mwingine anaiona 6.

Kama mtu akiingia humu na kichwa chepesi, ataanza kuwachukia wanawake wote kwa visa vya humu ndani, ambavyo vingine ni vya kubumba.

Kwa utafiti wangu rasmi, mwanamke anayepakwa matope humu JF ni imaginary mostly, si halisi. Ni wa kwenye movie za hollywood. Wanawake real wa kitanzania ni tofauti kabisa na wale ambao wanaume wa JF wanawalalamikia.

Wewe kama umezinguliwa na wa kwako usitake kujumlisha na kutaka siye wengine tuwachukie wanawake kama wewe.

Halafu humu JF wanaume wengi mnaonekana mnashinda kwenye movie mno, hasa za Hollywood. Kwa sababu criteria mnazodai wanawake wanazo ni za kwenye movie mostly. Ishini kwenye uhalisia😁.

Wewe ni lofa, umepigwa na kitu kizito na ugoi goi wako, kausha! Mambo za kuja kulia lia humu ukutaka wengine nao wawachukie wanawake kama wewe, si uungwana.

Acheni kukesha mnaangalia Hollywood's love story movies! Zinawaharibu!
labda unaongelea vitu vingine au labda hujabalehe. hivyo huwajui vizuri wanawake
unataka kusema huko ulipo hakuna singo maza?
tuanzie hapo kwanza
 
Kwanza ijulikane wazi kuwa namba unayoiona wewe ni 9, mwenzio akikaa upande mwingine anaiona 6.

Kama mtu akiingia humu na kichwa chepesi, ataanza kuwachukia wanawake wote kwa visa vya humu ndani, ambavyo vingine ni vya kubumba.

Kwa utafiti wangu rasmi, mwanamke anayepakwa matope humu JF ni imaginary mostly, si halisi. Ni wa kwenye movie za hollywood. Wanawake real wa kitanzania ni tofauti kabisa na wale ambao wanaume wa JF wanawalalamikia.

Wewe kama umezinguliwa na wa kwako usitake kujumlisha na kutaka siye wengine tuwachukie wanawake kama wewe.

Halafu humu JF wanaume wengi mnaonekana mnashinda kwenye movie mno, hasa za Hollywood. Kwa sababu criteria mnazodai wanawake wanazo ni za kwenye movie mostly. Ishini kwenye uhalisia😁.

Wewe ni lofa, umepigwa na kitu kizito na ugoi goi wako, kausha! Mambo za kuja kulia lia humu ukutaka wengine nao wawachukie wanawake kama wewe, si uungwana.

Acheni kukesha mnaangalia Hollywood's love story movies! Zinawaharibu!
Mbona hatukupati?
Unahusika na isue ipi?
 
Back
Top Bottom