Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Kitabu kitakatifu cha Quran Kinatanabaisha kuwa binadamu na viumbe vyengine ni nafsi na lazima vionje(kupitia/mchakato wa kifo).
Swali langu linakuja vipi kuhusu mwili je,haufi?au ndiyo unazaliwa upya baada ya miaka kadhaa(aacording to indian Holly books).
Unapokufa sawa mwili unaachana na roho/nafsi na inakuwaje siku ya mwisho inasemekana kuwa tutarudishiwa miili yetu kwa ajili ya kupatiwa hesabu zetu??je tunakubaliana mwili pia unakufa??
Swali langu linakuja vipi kuhusu mwili je,haufi?au ndiyo unazaliwa upya baada ya miaka kadhaa(aacording to indian Holly books).
Unapokufa sawa mwili unaachana na roho/nafsi na inakuwaje siku ya mwisho inasemekana kuwa tutarudishiwa miili yetu kwa ajili ya kupatiwa hesabu zetu??je tunakubaliana mwili pia unakufa??