Kila nikianza mazoezi ya viungo baada ya wiki mbili au tatu naacha, nikijitahidi mwezi mmoja baadaye naacha

Leo kwangu kesho kwako lakini, walisema wahenga, tena maumivu yako nayajua yamelalia wapi ujue....wala sio huko kimataifa
Sesten wanijua hasaaaa.

Hivyo sitapata tabu kwani najua mnyonge wangu upo hivyo maumivu yatakuwa ya muda tu Sesten. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kawachambua kama karanga aisee, nimependa uchambuzi huo
 
Sesten wanijua hasaaaa.

Hivyo sitapata tabu kwani najua mnyonge wangu upo hivyo maumivu yatakuwa ya muda tu Sesten. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaaa, na ujiandae vizuri usitafute sababu safari hii
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] neymar akiacha ile style akamuiga hazard,, atasumbua,, ila asipobadilika atabaki kama quaresma yule wa ureno
Ana utoto mwingi sana na unashaangaa namna timu nzima kuanzia wachezaji wenzake, kocha, bench lote la ufundi na hata wachezaji wa zamani na wananchi wa Brazil walikua wanamtegemea yeye awaletee kombe la dunia!
 
Ana utoto mwingi sana na unashaangaa namna timu nzima kuanzia wachezaji wenzake, kocha, bench lote la ufundi na hata wachezaji wa zamani na wananchi wa Brazil walikua wanamtegemea yeye awaletee kombe la dunia!
ilifikia hatua wanachza upande mmoja tu kushoto, kulia anabaki willian pekee akiwa hatumiki ipasavyo,, ningekuwa kocha ningempanga namba 9, ili awe anageuka mda wote mana hatapata mda wa mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…