[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Maisha yenyewe mazoezi tosha, we kuna kingine unakitafuta
Hongera..nimeamua kuyaachilia mbali..nasubiri kupasuka tu hapamwenzio sasa nna hali mpyaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
najua kanga hazikutoshi bila shaka,, mwendo wa tenge labdaHongera..nimeamua kuyaachilia mbali..nasubiri kupasuka tu hapa
Haha..kama ulijua vilenajua kanga hazikutoshi bila shaka,, mwendo wa tenge labda
Angalia bwanaaa.Nitaungalia mpira kwa shingo upande lakini
aiseeh ivi katika bodaboda unakaa kweli?[emoji23]Haha..kama ulijua vile
Hahaaa. Lol.Hongera..nimeamua kuyaachilia mbali..nasubiri kupasuka tu hapa
kucheka hucheki unaugumia ndanindani [emoji23]Hahahah mwanzo utatamani uache maumivu ya tumbo ni zaid ya kidonda
utakuwa free huna preshaNitaungalia mpira kwa shingo upande lakini
Desaily alipopewa kadi nyekundu kwa kumchezea vibaya Ronaldo nikajua magoli yote yatarudi, lakini siku hiyo Ronaldo hakua mchezoni kabisaa! Tukaambiwa kupitia tetesi kua alipata degedege muda mfupi kabda ya mpira kuanza na eti Nike wakalazimisha acheze hivyohivyo! Kama habari hizo ni za kweli itakuwa kuna syndicate kubwa sana kati ya makampuni makubwa ya vifaa vya michezo, timu zinazoshiriki WC na hata FIFA yenyewesiku ile sikuamini kabisa,, tatu bila,,
Halafu kocha akaja akamtoa Wilium wakati alikua anacheza vizuri tuilifikia hatua wanachza upande mmoja tu kushoto, kulia anabaki willian pekee akiwa hatumiki ipasavyo,, ningekuwa kocha ningempanga namba 9, ili awe anageuka mda wote mana hatapata mda wa mwingi
waongo wale degedege ulaya toka lini tena mwanamichezo? siku ile watu walikaba nafasi tu, akawa hapati mipira mingiDesaily alipopewa kadi nyekundu kwa kumchezea vibaya Ronaldo nikajua magoli yote yatarudi, lakini siku hiyo Ronaldo hakua mchezoni kabisaa! Tukaambiwa kupitia tetesi kua alipata degedege muda mfupi kabda ya mpira kuanza na eti Nike wakalazimisha acheze hivyohivyo! Kama habari hizo ni za kweli itakuwa kuna syndicate kubwa sana kati ya makampuni makubwa ya vifaa vya michezo, timu zinazoshiriki WC na hata FIFA yenyewe
Hebu nichagulie timu ya kushangilia leoAngalia bwanaaa.
Hahahh..nitajitahidi Dada angu ingawa sio rahisiHahaaa. Lol.
Jitahidi mdogo wangu sababu mie dada yako nlishashindwa pia.
Kweli mkuu maana ukicheka kwa sauti utapata tabu sana, kuinama napo ni shida yani shida juu ya tabu.kucheka hucheki unaugumia ndanindani [emoji23]
pale ndo kocha alipopagawa kabisa nikaona kabisa jahazi lao linazama, alafu kale ka navas jesus sijui anakapangia nn, unajua kapewa jukum nzito mno namba 9 vile viatu hata adriano vilimpwaya,, angalau angemwamini fermino ingekaa poaHalafu kocha akaja akamtoa Wilium wakati alikua anacheza vizuri tu
Kwa hiyo wee na mdogo wako mshakua vibonge, hahahaaaHahaaa. Lol.
Jitahidi mdogo wangu sababu mie dada yako nlishashindwa pia.
Ooh. Sawa Mtani.Kuhusu mama Itengejha bado hajapatikana
Shangilia Belgium banaaa. [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]Hebu nichagulie timu ya kushangilia leo