Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mtachakachua mkipima wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mtachakachua mkipima wenyewe
EwaaaaaaaaBora tupime wenyewe tu
Hahahahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na tulivyo mambonge sasa. [emoji12] [emoji12]
Hivi ubonge ni kua na kilo nyingi kwani?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na tulivyo mabonge sasa. [emoji12] [emoji12]
Kabisaaaaa.Hahahahaa
Si ndio hapo hatutaki baadae aanze kulalama..Mara ooh hajar na yna4 wamenivunjia mzani wangu sijui nini
Hatutaki hilo bora tu tujipime wenyewe
Mara nyingi vinaendana Sesten.Hivi ubonge ni kua na kilo nyingi kwani?
Naona kama majibu yatapangwa nje ya mzaniHahahahaa
Si ndio hapo hatutaki baadae aanze kulalama..Mara ooh hajar na yna4 wamenivunjia mzani wangu sijui nini
Hatutaki hilo bora tu tujipime wenyewe
Unajua mtu ukiwa na kilo nyingi au mwili kubwa uwe unauweza mwili wako, usiwe sasa unakuelemea na haujiweziMara nyingi vinaendana Sesten.
Hahahaaa. Hivyo mie na yna4 miili yetu hatuiwezi au sijakuelewa Sesten. [emoji12] [emoji12]Unajua mtu ukiwa na kilo nyingi au mwili kubwa uwe unauweza mwili wako, usiwe sasa unakuelemea na haujiwezi
HahahahaHahahaaa. Hivyo mie na yna4 miili yetu hatuiwezi au sijakuelewa Sesten. [emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haha..ondoa shaka katika hilo tuna mzani wetu..(haujatoka China lakini)Naona kama majibu yatapangwa nje ya mzani
Kweli hujanielewa Hajar,Hahahaaa. Hivyo mie na yna4 miili yetu hatuiwezi au sijakuelewa Sesten. [emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaa haya nawasubiri hukuHaha..ondoa shaka katika hilo tuna mzani wetu..(haujatoka China lakini)
Ooh. Nimeelewa sasa.Kweli hujanielewa Hajar,
Nilikua namaanisha kwamba, mwanzo tulikua tunaongea kuhusu mazoezi na kupunguza uzito na miili mikubwa, sasa ndio nikaauuliza kwani kua na kilo nyingi au kua na mwili mkubwa ni tatizo ikiwa mtu anaumudu mwili wake na uzito wake? Mtu anaweza kua na mwili mkubwa bado akawa mwepesi na wala haiwi kikwazo cha kufanya shughuli zake zote bila shida
Mazoezi yanasaidia mwili kua fiti na si lazima mtu apungue uzito ili ajione yuko fiti, ingawa inategemea urefu wako pia,
hiyo ndio ilikua maana yangu Hajar wetu eeh mamii
[emoji102]Hahahaaa. Hivyo mie na yna4 miili yetu hatuiwezi au sijakuelewa Sesten. [emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaaa. Lol.[emoji102]
[emoji125] ......Hahahaaa. Lol.
Umenikumbusha mbali sana kiongozi kuna siku moja nilipiga round nyingi nikalala bila kula, sitosahau siku ile, usingizi ulikata ghafla saa 11 alifajiri nikahisi kama tumbo limekatwa then limepakwa pilipili ilikuwa ni bonge ya njaa zaidi ya 1987 nilifungua friji nikachukua mkate mkubwa ndani ya dk 5 umeishia tumboni na maji ya kutosha..kuna siku ivo ivo ndo nimeanza hayo mazoezi maumivu hayajapoa shem wako akaja kutoka safari, usiniulize nn kilitokea hapo maana maumivu juu ya maumivu kesho yake[emoji23]
Hahahaha. Angalia usianguke Swahiba.[emoji125] ......