Kila nikianza mazoezi ya viungo baada ya wiki mbili au tatu naacha, nikijitahidi mwezi mmoja baadaye naacha

Mimi nikifanya siku mbili nasema ngoja nipumzike moja nikipumzika moja ndio kama zotee yani now nimehamisha mazoezi kitandani na nimeshaongeza wapinzani kikubwa jasho linitoke.
Huku kijijini hayo mnayoita "mazoezi ya kitandani" ni kama kujinyoosha tu. Bado silewi unaposema umehamishia mazoezi kitandani kijana mdogo damu inachemka!.
 
Idumu jamaani maana kuna sehemu anasema mie navaa khanga mbili mbili nikajikuta najiangalia kisha nikacheka lol.


Jf idumu idumu sababu kama kucheka tunacheka hasaaaa.
eeeeh ehhhh, umejiona eeeh! huo ndio ufundi wa Allah,, kile kitanda 4 kwa 5 huenei kabisaaa ,,, hata yutong 2 by 3 huwez kusafiri kwa aman labda ile 2 by 2 [emoji23] [emoji23]
 
Hata maombi ya alfajili nayo ni shida hivyo hivyo kwangu
we unazungumzia swala swala,, yule mufti anayepga adhana,, huwa namsikiaga lakini haya masikio sijui veeeper [emoji23] [emoji23] eeeh Mola nisamehe
 
pole mkuuu [emoji23] [emoji23] hukuweka alam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…