1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Wazoefu mnipe kautaratibu inakuaje mna dumu kufanya mazoezi mwaka mzima bila kuacha? au mnatumia mbinu gani?
MAZOEZI NI AFYA
MREJESHO: Siku kama ya leo ya tarehe 9 jul 2018 ndo nilitoa hii nyuzi,
Leo tarehe 9 August 2018 nimefikisha mwezi mmoja ya tangia nianze mazoezi, Nimeamini ukitia Nia kumbe yawezekana, asanteni sana kwa mawazo yenu.
MWILI UNAENDELEA KUJIGAWA.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
MAZOEZI NI AFYA
MREJESHO: Siku kama ya leo ya tarehe 9 jul 2018 ndo nilitoa hii nyuzi,
Leo tarehe 9 August 2018 nimefikisha mwezi mmoja ya tangia nianze mazoezi, Nimeamini ukitia Nia kumbe yawezekana, asanteni sana kwa mawazo yenu.
MWILI UNAENDELEA KUJIGAWA.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]