Hahahahaa Kwa Njia yake Pamoja Naye na Ndani yake wewe Mungu Baba Mwenyezi Katika Umoja wa Roho Mtakatifu unapata heshima na utukufu wote milele na Milele!We jamaa kama mimi.hcho kipengele kinanikonga moyo sana lazima nifatishe.
Sent using Jamii Forums mobile app
internal call inakuwajeNi kweli ..lakini kwa Tanzania hatuna mfumo wa mashemasi wa kudumu...ulaya ndo watumia sana huo mfumo wa mashemasi!!!! Ajaribu kujitafakari safari yake katika wito mtakatifu maana huenda akawa anatamani tu kwa nje tu, lazima awe na "internal call"
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sauti ya ndani kabisa ambayo hukuonyesha kweli umeitwa kuwa padre....mfano unaweza ukahisi unapenda sana upadre pale tu unapoona padre anafanya tukio fulan,internal call inakuwaje
nina 23 mkuu
ahahahaa za kuoa sina ila za Mapenzi ninazo!Ni sauti ya ndani kabisa ambayo hukuonyesha kweli umeitwa kuwa padre....mfano unaweza ukahisi unapenda sana upadre pale tu unapoona padre anafanya tukio fulan,
Au ukiona mapadre wanaongoza misa wakiwa wengi jinsi wanyopokezana kusoma miss,
Au vile ASKOFU anavyotembea na fimbo yakee...haya yote ni vielelezo vya nje tu lakn Internal call I nakuja wakati wowote bila kuwa influenced na mazingira yanayokuzunguka
Mfano unahisi utakuwa padre wa aina gan, huna hisia za kuoa
..naomba unielewe hisia za kuoa ni tofauti na hisia za mapenzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha aisee Mkuu umenichekesha..mkuu embu acha majaribu yako asee
yani wewe umeshakaa kitaa umeonja utamu wa papuchi alafu unaongea habari za upadre...
hao masister watapona kweli huko parokiani?
simba mla nyama ya watu hawezi acha labda auliwe.... mla papuchi hawezi acha labda awe calstrated ... huna sifa za kuwa padre mkuu embu jitahidi uovercome hayo matamanio
Yaah enzi za utumikizi (Ministrant)Mkuu mbona sisi tunaigizaga kabisa ,kama mimi kabla sijaasi kipindi napokea komunyo ya kwanza tukiwa tunacheza mnaanza kuigiza kama padre mpaka kusalisha nilikua nasalisha.. hapo watajitokeza wanaotumikia nk[emoji23] utoto bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila LA kheri mkuu katika kufuata njia ya Bwana.....kama umesoma degree ya uhadisi nikushauri ingia Jesuit fathers maana wao karama yao ni uinjilishaji na elimu....utapata muda wakutumikia kanisa na pia carrier yakoahahahaa za kuoa sina ila za Mapenzi ninazo!
Asantee saana Kaka.. umenipa Wazo Jipya..Kila LA kheri mkuu katika kufuata njia ya Bwana.....kama umesoma degree ya uhadisi nikushauri ingia Jesuit fathers maana wao karama yao ni uinjilishaji na elimu....utapata muda wakutumikia kanisa na pia carrier yako
Sent using Jamii Forums mobile app
πππππ ndio ukweli huoHahahaha aisee Mkuu umenichekesha..
Kama hujao ni rahisi. Wasiliana na paroko wako ujiunge upadri. Ni experience mbaya sana kuishi maisha yasiyo yakoSijaoa Mkuu