Kila Nikienda Kanisani lazima nikutane na hili tatizo!

Kila Nikienda Kanisani lazima nikutane na hili tatizo!

Mkuu Namalizia Chuo Uhandisi!
Haina shida only two or three years you can be cha msingi muone paroko na mueleze hisia hizo na isiwe nilo tu elezea na mengine unayoona yanakuvutia na ni bora ukafunga novena kuomba roho mtakatifu akuonyeshe kama kweli huko ndo njia yako. Usije ukaenda huko ukawa paroka wa kuzalisha wahudumu wa kanisa wadada na akina mama. Maana huwa hawanyimwi papuchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haina shida only two or three years you can be cha msingi muone paroko na mueleze hisia hizo na isiwe nilo tu elezea na mengine unayoona yanakuvutia na ni bora ukafunga novena kuomba roho mtakatifu akuonyeshe kama kweli huko ndo njia yako. Usije ukaenda huko ukawa paroka wa kuzalisha wahudumu wa kanisa wadada na akina mama. Maana huwa hawanyimwi papuchi

Sent using Jamii Forums mobile app
aqo loe kung
 
Tumsifu yesu Kristu!
Ee bwana mimi nikienda kanisani huwa najikuta natamani sana kuwa padre, naona kama mapadre ni ma role model wangu, Najikuta nafanya imagination nyingi za kipadre!
Sitaki niwaze ila kila nikiingia kanisani lazima iwe hivyo, kuna roho ya kumuacha hata shemeji yenu inakuja kabisa..
Napagawa kabisa wakati wa mageuzo pale Padre Akisema, Akawapa mkate akisema twaeni mle nyote huu ndio mwili wangu utakaotolewa kwa ajili yenu, kisha akawapa kikombe akisema twaeni mnywe nyote hiki ndicho kikombe cha damu yangu, damu ya agano jipya na la milele itakayomwagika kwa ajili yenu na kwa ajili ya wengi..Fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi... Halafu anaponyanyua na Kusema Kwa njia yake pamoja naye ndani yake wewe Mungu Mwenyezi katika Umoja wa Roho mtakatifu unapata heshima na utukufu wote milele hata milele!

Nifanyeje nisipate hizi hisia za Upadre? ila huwa nisipoenda kanisani nakuwa fresh siwazi mambo ya upadre!

Muwe na Jumapili Njema ya Dominika ya 21 ya Mwaka B wa Kanisa!

Alfred
Usikanyage tena kanisani au ukienda ibada ikanza wee rudi nyumbani
 
Pangea na baba Paroko, unaweza kuwa Deacon. Huyu ni mtu anaeos na kuwa na familia lakini hufanya shughuli nyingi za kanisa isipokuws kusoma misa.
 
Pangea na baba Paroko, unaweza kuwa Deacon. Huyu ni mtu anaeos na kuwa na familia lakini hufanya shughuli nyingi za kanisa isipokuws kusoma misa.
Ni kweli ..lakini kwa Tanzania hatuna mfumo wa mashemasi wa kudumu...ulaya ndo watumia sana huo mfumo wa mashemasi!!!! Ajaribu kujitafakari safari yake katika wito mtakatifu maana huenda akawa anatamani tu kwa nje tu, lazima awe na "internal call"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom