Kila nikifanya ngono na mwanamke yeyote, asubuhi lazima alalamike maumivu ya kizazi

tuma picha alafu unapo piga picha weka rula tukushauri kipimo
 
Yaelekea urefu wake kama ya Mr.Donkey, mi nadhani wape wajipimie wenyewe.
 
1.Chunguza ukubwa wa uume wako 2.Unafanya love kwa kutumia nguvu sana? 3.Nenda kwa bingwa wa magonjwa ya uzazi apime PH ya mbegu zako na maji maji yake 4.Apime kipimo cha VDRL Pia uelewe wanawake wanapendelea kufanyiwa taratibu na kwa muda mrefu sio kutwanga mahindi
 
Mkuu utakuwa hujui kumtengeneza mwanamke vizuri, huko tumboni kote unaenda Fanya nini??? Wengine tunachezaga na G- spot tu mwanamke wacha akodoe macho kama anakifaduro,

Badilika mkuu, mwanamke hahitaji kukomolewa, kumbuka sex ni starehe
 
Lol. Sitaki kucheka, wala kucomment.

........ wanawake Mungu anawaona hasa kama mnajua hamna kitu.... ila kuna kitu mnakihitaji na tarehe zenyewe ndo hizi....🙄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…