Abdalah Lyimo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 269
- 153
- Thread starter
- #21
OkTatizo ni UTI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkTatizo ni UTI
Ngoja nijaribu mkuuumefanya na wangapi mkuu, maana isije kua sampuli moja tu tena ya mtaani kwako peke yake.. labda endelea kujaribu na wa mikoa mingine, shape tofauti, rangi tofauti, wakizungu labda.. ili uhakikishe kua tatizo ni wewe au wao!
Kwa hiyo nifanyaje mkuuWatu wa Pwani wanasema una Chango wewe unahamisha tu
Inawezekana pia ni sababu MkuuPima
Pima urefu wa chombo chako. Kama kinazidi urefu wa kawaida itakuwa sababu . Basi tafuta mwenzi ambaye tumbo lake lnaweza pokea ujazo wa chombo chako. Vinginevyo tumia kwa uangalifu chombo chako.
Nenda kwa wataalamu wa miti shamba wanafahamu sana hizo dawa.Kwa hiyo nifanyaje mkuu
HuhuhuuuuuuuKwi kwi kwi kwi apige juu juu tu si kuingia za ub** wote LoL!
Tatizo nini Mkuu maana kila niliyepita nae majibu nnayoMwanamke yoyote yule duuu..Mkuu ninawasiwas na afya yako....
Hahahaaaaa pa1 mkuu wa Mkoani MwenzanguUjue wewe ni jogoo la shamba au mwanaume wa mikoani
Ok Nashkuru MkuuNenda kwa wataalamu wa miti shamba wanafahamu sana hizo dawa.
Kizazi ndiyo nini?Wakubwa naileta hii mada hapa mbele yenu kwa atakaye elewa na atakaye kua anafahamu chanzo cha tatizo hili na tiba yake naomba anisaidie kwakweli sijisikii vizuri kwa kila siku mimi kulalamikiwa nahitaji kutulia na mwanamke mmoja ila inashindikana kwa sababu hizo msaada wenu wakubwa nahitaji kutambua tatizo hili ninini kwani sio kwa mwanamke mmoja kila ninaye fanya naye Mapenzi hali hii hua inamtokea lazima atasema Kizazi kinamuuma.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]badili style mkuu......jaribu popo kanyea mbingu...tatizo litaisha mkuu
Wakubwa naileta hii mada hapa mbele yenu kwa atakaye elewa na atakaye kua anafahamu chanzo cha tatizo hili na tiba yake naomba anisaidie kwakweli sijisikii vizuri kwa kila siku mimi kulalamikiwa nahitaji kutulia na mwanamke mmoja ila inashindikana kwa sababu hizo msaada wenu wakubwa nahitaji kutambua tatizo hili ninini kwani sio kwa mwanamke mmoja kila ninaye fanya naye Mapenzi hali hii hua inamtokea lazima atasema Kizazi kinamuuma.
WangapiTatizo nini Mkuu maana kila niliyepita nae majibu nnayo
Inch 7 na point kama4 hiviDushele yako ina ukubwa na urefu gani tuanzie hapo
DuuuuuuhSio kwamba hawatak ufanye nao mapenz tena maana hauko vzur 6*6,maana hawa wana mbinu nying za kusema stak,trhtehteh
KhaaaaaaaaaaKizazi ndiyo nini?