Kila nikiingiwa na hofu natokwa manii. Je, ni hali ya kawaida au ugonjwa?

The patriot man

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
1,071
Reaction score
1,361
Habari zenu wana Jf

Nina tatizo moja hivi yaani kila nikiaanza kuingiwa na hofu huwa najikuta shatoa manii napiizii yanatoka yenyewe automatically nashindwa kujizuia jamani hii ni tatizo au ni hali ya kawaida??.
 
hyo inatokea hatq mm ila huwa simwagi bali unaona kabsa znataka kutoka lakn hilo la kwako limezdi ila usihofu inatokana na uwoga tu
 
Kwa nini waigniwa na hofu? Hiyo hofu inakutoke mara kwa mara au mpaka kuwe na hali ya hatari?
Huenda unakabiliwa na ugonjwa wa hofu unaitwa, 'Anxiety Disorder'. Google kufahamu zaidi.
sio mara kwa mara mpka kwenye hali ya hatari yaani ambapo naona hapa no way out ndo hyo hali inanitokeaa
 
Hiyo ni hali ya kawaida, hata mimi ilishawahi kunitokea kipindi niko shule nafanya mtihani, msimamizi akitaja dakika za majeruhi bado dakika 5,4,3,2 au 1 halafu ukute sijamaliza maswali na mtihani ulikuwa jiwe basi najikuta mzee baba kashafanya yake kutokana na hofu
 
daah kama mimi mkuu ndo huwa inanitokeaga kama wewe daaah mimi nilidhani ni ugonjwa aisee
 
Hiyo naona ni kawaida bt uume kusimma sawa ila kumwaga hapan labda woga ukuzid na ukikuzdi huwa ni kujikojolea
 

daah kama mimi mkuu ndo huwa inanitokeaga kama wewe daaah mimi nilidhani ni ugonjwa aisee
Sasa siku mkikutana na simba usiku si ndio mtakunya kabisa! [emoji23][emoji23]

Uoga haufai kwa mtoto wa kiume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…