Kila nikijaribu kumsamehe/kuwasamehe nashindwa



Roger that boss
 
Nimrkupata Mkubwa

Bazazi
 
Lakini mkuu Unajua bila wewe kuchepuka yote haya yasingetokea????[emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]


Inawezekana yangetokea tu, who knows. Mkuu nilimuomba mwenzangu msamaha mbele ya mama yake, yakawa yameisha. Sasa sijui hapa nilitakiwa nifanye nini. Na kama alishaamua aachane na mimi sababu ya kuchepuka, angefungasha tu kilicho vhake Vya kwangu akaniachia Mkuu au?
 
Sawa nitajitahidi Mkuu, ila dah, unajitoa kwa mtu 100% halafu inakuja kukufanyia hv, inauma sana Mkuu we acha tu sikia kwa wengine tu.
Ninaelewa unachokipitia kwa sasa ila unachotakiwa kujua ni kuwa wewe sio wa kwanza kufanyiwa hayo na wala hutokuwa wa mwisho, muhimu ni kurudi nyuma na kujua kuwa lazima maisha yaendelee, ulikuwa unaishi kabla ya kukutana na huyo mwanamke na hopeful unaweza kuendelea na maisha bila yeye, muombe Mungu utafanikiwa.
 


Sijisifu Mkuu ila kwa kiasi maisha yalikuwa Kwenye mstari,
 


Asante sana Mkuu kwa Ushauri, ni kweli maisha Lazima yaendelee.
 
Hukukosea, mwanaume kuchepuka ni suala la kawaida!!
Ishu ya kuuza vitu vya ndani ni wizi kama wiz i mwingine, bad enough wakaungana kukutukana! Kwa experience yangu inawezekana kuwa walikaa kikao wakakubaliana, huyo mwanamke alipata mtu mwingine!!!

Nilishawahi kutukanwa na mtu akishirikiana na dada zake January 2014. Akaolewa! Leo hii aliyenitukana ni kichaa(so sad)
 
Kweli wanaume tumeumbwa mateso wanawake wengine ni mitihani aisee... sitaruhusu tena moyo wangu uteleze kumpenda na kumuamini mwanamke coz lile picha dogo tu nililokutana nalo nilihisi roho inatoka kidogokidogo namshkuru mungu ssaiv nimeshasahau am happy again and am in full controf of my feelings.. pole sana mtoa mada ulipewa mtihani mkubwa sana kwa kiasi kikubwa ulifaulu na umepata funzo ulifanya vyema kulet go ungesema utake action believe me leo usingekuwa hapa
 
Nimesoma story yote jana, nikashindwa kucomment chochote. Leo wacha niseme chochote, kwanza nimeona story imeanza kwa kujisifu sana. Hata vitu visivyo na msingi wa kujisifu.

Mtanisamehe na utanisamehe, it seems like wewe kila kitu chako ni kizuri. Inawezekana umekuwa unampush huyo mwanamke away kwenye ndoa. Maana hata kosa la kuchepuka inaonekana unalidownplay, kama yalikuwa zito sana.

Kwenye somo la history tulisoma kuna longterm causes za vita, and ignition causes za vita. Inawezekana hilo la wewe kuchepuka ndio lilikuwa ni ignition point, ila kuna mengi ulikuwa unamfanyia akawa anavunga.

Inaonekana ulikuwa unamtreat kama mtu ambaye hana akili. Kwa sababu una hela na una maisha mazuri, na yeye kwao hawana maisha mazuri ukahisi atavumilia tu.

Kuishi na mtu ambaye s/he looks down on you ni very toxic and not healthy for any relationship.Na kuna watu huwa wanaona kila kitu cha kwao ni kizuri.

Ngoja niishie hapa na nisiandike mengi kama wewe.
 


Sawa Mkuu naheshimu Mawazo yako, je kulikuwa na haja gani yeye kuuza vitu vyangu kama alikuwa ameamua kuachana na mimi kwa sababu ulizozitoa.

Hivi unaweza ukawa unamdharau mtu kwa hali yake au kwa hali ya kwao huku ukawa anafanya bidii ya kumsaidia Kutoka Kwenye ile hali au kumsaidia wakao Kutoka Kwenye ihyo hali? Sidhani.

Na kama aliamua kuondoka kwa sababu nilikuwa namtreat kama mtu asiye na akili je alipotaka kurudi alishapata akili kwa hyo ninhemtreat kama ana akili na familia yao ilishapata maisha mzuri?

Swla la kuchepuka Sawa unaweza kuwa ndo ulikuwa ignition point kama unavyosema, ila nilimuomba msamaha na yeye akasema yameisha tena mbele ya mama yake.

Kwa suala la kujisifu sorry kama limekukwaza, labda ungesikia nilikuwa naishi Kwenye chumba kimoja cha uani ungefurani, sorry Mkuu.

Nirudie tena huwezi ukamdharau mtu kwa hali yake halafu ukajitahidi kumtoa Kwenye hyo hali.
 

Of course hii ignition cause ndiyo msingi kwenye Story hii,

kuna wakati unaweza ukawa chanzo cha tatizo lakini ukawa unaona perfection tu peke yake kwa upande wako asikwambie mtu kwenye mahusiano wewe ukiwa hausaliti/ haulali nje ya ndoa au mahusiano lakini mwenzio anafanya na umemkamata na ushahidi inaumiza sana kiakili

Pia shida ya Mfumo inatumaliza na kusikia kwa misemo, hata kusoma vitabuni na kwenye habari kwamba sisi wanaume kwa namna moja au nyingine tuna haki au usahihi kwa kusaliti sababu ya nature na vitu vingine kama hivyo hii imekuwa sababu ya migogoro mingi na visa vingi sana kwenye mahusiano.

Japo pia umaliziaji wa hawa dada zetu, wanawake, umaliziaji wao unakuwaga mbaya sana. Utakuta kweli yeye ndiye ameanza kufanyiwa ubaya lakini alivyo malizia sasa

Kisa hiki kinafanana sana na kisa kilichowahi kumtokea Ndugu yangu wa damu, ambaye na yeye mwanamke aliuza kila kitu na kukimbia na mtoto, nakumbuka nilihusika kumfatilia nijue anaishi wapi baada ya kumuona akiwa kwenye dhohofu i hali yeye na mtoto ili tuchukue mtoto

Lakini wanafamilia wote, marafiki, majirani wanamuona aliyekosea ni yeye mwanamke ijapokuwa utakuta ndugu yangu mwanamme mwenzangu ndiye alikuwa chanzo na kuanzisha ugomvi. SABABU MWANAMKE KAMALIZIA VIBAYA

TUJITAHIDI TUSIWE CHANZO
 
Ndio shida ya kutoka kwenye familia za mitala kila kitu unaona kawaida. Nashukuru mtoa post tunaelewana. Nenda kafanye mtihani wenzako wanaanza Leo. Utakapo kuwa utajua nasema nini.
 
Narudia kwambia kwa Mara nyingine unaandika kitu usichokijua, sioni umuhimu wa kubishana na wewe kwenye hili. Nimempa angalizo na nafikiri kaelewa nilichomwandika maamuzi yake ya Leo yanaleta drama ya kesho. Hutakaa ukadhurika kwa kusamehe ila kunaathari kubwa kwa kutosamahe. Nikisoma katika ya maandishi yako naweza ona ulivyo na sitakosea nikisema wewe ni mtu mwenye kinyongo sana na unayependa kukuza mambo. Dunia haiendi hivyo mkuu
 
Effect ya kulelewa na Mzazi mmoja ipo hapo;hata watoto wako watakua na tatizo la malezi kwa kutokua raised na Wazazi;Oa Mkuu uishi na watoto wako la sivyo na wewe utapata mashtaka mengi ya wakwe zako in future
 
Sasa mkuu kama huyo Dada alikuwa mistreated kwann akaombe msamaha sasa hv!?

Kuchepuka kwa mume adhabu yake ndio kuuza vitu vya ndani!??

Je baada ya hayo yote kosa la kuchepuka limefutika!??

Nikuambie tu, wanaume kulingana na nature yetu kuchepuka ni kitu cha kawaida!!

Hata sisi hatupendi ila ni maumbile yetu ya asili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…