Noel Ngiama Makanda
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 1,782
- 3,103
Wivu wakike..tafuta nawewe utapata
ajenge wapi mkuu,!! nimemuoa amekuta kila kitu nimejenga na gari nimenunua yeye alikuja na nguo zake tuUlikuwa unamtumia hela ajenge mkuu au???
Mipasho ya kina mama imeanza
ajenge wapi mkuu,!! nimemuoa amekuta kila kitu nimejenga na gari nimenunua yeye alikuja na nguo zake tu
kuhusu suala la uyu mtoa mada mimi siwezi kutoa neno, siwezi kusikiliza malalamiko ya upande mmoja lazima nisikilize upande mwingine kisha nitoe ulinganifu.Huo ni wizi kabisa, na naunga mkono hatua stahiki ulizochukua.
Lakini unazungumziaje swala la ndugu yetu huyu kacheat na hajaelezea sehemu yeyote kama alimuacha yule mwanamke au aliendelea nae.
Wamehukumiwa miaka 5 pamoja na faini ya mali yangu yote waliyouzaUna balaa mzee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Wamehukimiwaa au rumande tu???
Yeye amekukosea ila wewe unachomtendea ni ukatili mkubwa sana hasa wa kumnyima nafasi ya kuwaona wanaweAsante sana Mkuu kwa Ushauri, ni kweli maisha Lazima yaendelee.
Kipindi kesi iko mahakamani ndugu zao wa pande zote walichanga kunipatia pesa zote niliwaambia gharama ya mali yote mil 79 wakalia lia nikawaambia watoe mil 69.Duuh sasa wataweza kuilipa kweli????[emoji15][emoji15]
Mkuu David Harvey πππKipindi kesi iko mahakamani ndugu zao wa pande zote walichanga kunipatia pesa zote niliwaambia gharama ya mali yote mil 79 wakalia lia nikawaambia watoe mil 69.
lakini yule mwanamke alivyokuwa mpumbavu akawaambia ndugu zako wasitoe pesa yoyote maana vitu ni mali yake alivipata kwa njia ya halali ktk ndoa na piga ua kesi lazima ashinde coz bwana ake alikuwa askari.
Hukumu ilipotoka wakala mitano ya nguvu na faini mil 85
Wewe ni konki mkuu.....na imagine sijui sura yako inafananaje dahKama mtu hajawahi changamoto kama hizi anaweza kudhani ni hadithi za kutunga.
Tena afadhali wew maumivu yako sio makubwa kama yangu, story kwa ufupi mke wangu kwa kushirikiana na familia yake waliuza kila kitu nyumba hadi gari na mtoto niliambiwa sio wangu na kweli mtoto alikuwa sio wangu kuja kufuatilia kumbe nilioa mwanamke akiwa na ujauzito wa mwezi mmoja.
Baada ya miezi 2 kurudi Tz kupeleleza nikagundua mwanamke yupo kwa bwana ake aliyemzalisha uyo mtoto.
Nikafungua kesi ya wizi mahakamani, mpka muda muda huu ndugu wa mwanamke, mwanamke mwenyewe pamoja na bwana ake wapo segerea mwaka 1.5 huu na warudishe mali zangu zote
Binadamu watu wa ajabu sana. Hayo ndio yalikuwa malipo ya wewe kumpenda.Kama mtu hajawahi changamoto kama hizi anaweza kudhani ni hadithi za kutunga.
Tena afadhali wew maumivu yako sio makubwa kama yangu, story kwa ufupi mke wangu kwa kushirikiana na familia yake waliuza kila kitu nyumba hadi gari na mtoto niliambiwa sio wangu na kweli mtoto alikuwa sio wangu kuja kufuatilia kumbe nilioa mwanamke akiwa na ujauzito wa mwezi mmoja.
Baada ya miezi 2 kurudi Tz kupeleleza nikagundua mwanamke yupo kwa bwana ake aliyemzalisha uyo mtoto.
Nikafungua kesi ya wizi mahakamani, mpka muda muda huu ndugu wa mwanamke, mwanamke mwenyewe pamoja na bwana ake wapo segerea mwaka 1.5 huu na warudishe mali zangu zote
πππ respect.Kipindi kesi iko mahakamani ndugu zao wa pande zote walichanga kunipatia pesa zote niliwaambia gharama ya mali yote mil 79 wakalia lia nikawaambia watoe mil 69.
lakini yule mwanamke alivyokuwa mpumbavu akawaambia ndugu zako wasitoe pesa yoyote maana vitu ni mali yake alivipata kwa njia ya halali ktk ndoa na piga ua kesi lazima ashinde coz bwana ake alikuwa askari.
Hukumu ilipotoka wakala mitano ya nguvu na faini mil 85
Of course hii ignition cause ndiyo msingi kwenye Story hii,
kuna wakati unaweza ukawa chanzo cha tatizo lakini ukawa unaona perfection tu peke yake kwa upande wako asikwambie mtu kwenye mahusiano wewe ukiwa hausaliti/ haulali nje ya ndoa au mahusiano lakini mwenzio anafanya na umemkamata na ushahidi inaumiza sana kiakili
Pia shida ya Mfumo inatumaliza na kusikia kwa misemo, hata kusoma vitabuni na kwenye habari kwamba sisi wanaume kwa namna moja au nyingine tuna haki au usahihi kwa kusaliti sababu ya nature na vitu vingine kama hivyo hii imekuwa sababu ya migogoro mingi na visa vingi sana kwenye mahusiano.
Japo pia umaliziaji wa hawa dada zetu, wanawake, umaliziaji wao unakuwaga mbaya sana. Utakuta kweli yeye ndiye ameanza kufanyiwa ubaya lakini alivyo malizia sasa
Kisa hiki kinafanana sana na kisa kilichowahi kumtokea Ndugu yangu wa damu, ambaye na yeye mwanamke aliuza kila kitu na kukimbia na mtoto, nakumbuka nilihusika kumfatilia nijue anaishi wapi baada ya kumuona akiwa kwenye dhohofu i hali yeye na mtoto ili tuchukue mtoto
Lakini wanafamilia wote, marafiki, majirani wanamuona aliyekosea ni yeye mwanamke ijapokuwa utakuta ndugu yangu mwanamme mwenzangu ndiye alikuwa chanzo na kuanzisha ugomvi. SABABU MWANAMKE KAMALIZIA VIBAYA
TUJITAHIDI TUSIWE CHANZO
Leo ndo nimepata muda kusoma hili jarida lako, mambo yasiwe mengi sana mi nauljza kwaiyo ulikwisha oa?
[emoji16][emoji16][emoji23]Leo ndo nimepata muda kusoma hili jarida lako, mambo yasiwe mengi sana mi nauljza kwaiyo ulikwisha oa?
π π π π π watu tunaangalia fursa ayo mengine bla bla atuna kazi nazoHahahaaa...mkuu unataka kujiweka au?
Unanicheka mkuu[emoji16][emoji16][emoji23]