The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Ukiolewa husiwe kama huyoHivi, it's a true story ama!, pole sana nimesoma yote kama movie vile ,ila huyo Dada ana roho ngumu sana, anyway wasalimie hao madogo
Nawe ukioa jitahidi uwe kama huyo kaka(nunua vitu classic ,saidia wakwe zako)Ukiolewa husiwe kama huyo
Kusaidia wakwe haimo kwenye mikakati. Mimi nitasaidia mtu yeyote niliyeguswa kumsaidiaNawe ukioa jitahidi uwe kama huyo kaka(nunua vitu classic ,saidia wakwe zako)
Ukiona unakaribia kumjua mwanamke, ujue unakaribia kufa. Don't trust a womanDaaaah....nmesoma kila neno uliloandika...ni uhondo juu ya uhondo....nashauri utoe kitabu kabisa ....
Hz ndoa hz duuh.....wanawake wasomi wasumbue, na wasio wasomi pia wasumbue...mambo n balaaa