Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimsingi mzazi ni mzazi hata angekosea. Mtoto hawezi kumwona mzazi anateseka akavumilia. Lakini pia huwezi Pima amani watoto waliokuwa nayo enzi wazazi wako wote na amani walionayo sasa.Akilini mwako unatembea Na akuna Kama mama, mama ni mama sio
Yesu na Maria na Yosefu
Ni mtihani au?
Boss umeisoma yote? Kuna la kujifunza hasa hayo yote yaliletwa na sms ya mchepuko
Boss bora ujitahidi angalau uisome nimeipenda, kuna mafundisho mengi sana. Hawa ni watu walolelewa na wazazi wawili tofauti. Mmoja mswahili (makuzi na malezi) ambapo badala ya kumshauri binti yake yeye kajiunga naye. Mwingine alipomshirikisha mama yake (mstaarabu), akasema samehe, akauliza watoto mama akamjibu wataletwa au walikuwa watajileta, kijana alipotaka kujua umbea wa nini kilijiri kati ya mama na mkewe akamzimia simu! Hili funzo tosha. Bado nasubiri kuitwa kwa interviewe ya kibarua changu ujueSijasoma kabisa
Huyo niliyemtag atakuja kunisamaraizia boss
Kwani wewe uliyepata upendo wa baba Na mama, baba yako akuwa Na mchepuko, mamayako alikukosesha upendo kisa michepuko ya Mzee wako, ? Kwani ujasoma kuwa mwanamke alikuwa kachoka kiuchumi Na jamaa akupenda watoto wake wakae uswahilini,Kimsingi mzazi ni mzazi hata angekosea. Mtoto hawezi kumwona mzazi anateseka akavumilia. Lakini pia huwezi Pima amani watoto waliokuwa nayo enzi wazazi wako wote na amani walionayo sasa.
Hajatazama vizuri hiko siku bibi yao ataenda mbele ya haki itabidi awachukue watoto wataenda kuishi na nani kama si mama wa kambo? Na baada ya hapo drama ya pili itaanza
Hakika!
Kuweka donge moyoni ni kujilisha sumu roho
Facthaya matatizo yote umesababisha wewe Chief. Kama mwanamke wako angechepuka hata wew usingeweza kumuelewa. Mwanamke alivyokufanyia si sawa ila fahamu yote haya wewe ndio msababishi.
wanawake mkiolewa msisikilize maneno ya ndugu, marafiki, achana na dada zako na mama yako, fata akili zako. Nina sema hivi kwasababu tukio kama hili la kushikiwa masikio na ndugu zako kisa mmeo ana pesa lilishawahi kutokea kwenye ukoo wetu. Maarifa ya maisha ni muhimu.
Boss bora ujitahidi angalau uisome nimeipenda, kuna mafundisho mengi sana. Hawa ni watu walolelewa na wazazi wawili tofauti. Mmoja mswahili (makuzi na malezi) ambapo badala ya kumshauri binti yake yeye kajiunga naye. Mwingine alipomshirikisha mama yake (mstaarabu), akasema samehe, akauliza watoto mama akamjibu wataletwa au walikuwa watajileta, kijana alipotaka kujua umbea wa nini kilijiri kati ya mama na mkewe akamzimia simu! Hili funzo tosha. Bado nasubiri kuitwa kwa interviewe ya kibarua changu ujue
Msamehe tu uwe huru moyoni mwako hata hivo s ushaamua kuendelea na maisha yako sasa kinachoufanya ushindwe kuwasamehe ni nn??
Acha dunia iwafunze barabara ww lea wanao tu wakikua watamtafta mama yao wakipenda lakini wasamehe
Msamehe tu uwe huru moyoni mwako hata hivo s ushaamua kuendelea na maisha yako sasa kinachoufanya ushindwe kuwasamehe ni nn??
Acha dunia iwafunze barabara ww lea wanao tu wakikua watamtafta mama yao wakipenda lakini wasamehe
Nimekisoma chote japo ni kitabu kabisa, ila samehe na sahau yaliyopita