Kila nikijaribu kumsamehe/kuwasamehe nashindwa

Kila nikijaribu kumsamehe/kuwasamehe nashindwa

Inasikitisha.Pole sana.Msamehe (sijakwambia urudiane nae).Kama amekwama msaidie.Sio kila tunaowasaidia wawe wametutendea wema.Msaada wako utamkumbusha mengi,Ni funzo kwake na majuto yasiyokwisha.Kama unauwezo mpe msaada mkuu.

Sawa Mkuu, nitajitahidi kuufanyia Kazi Ushauri Wako,
 
Nimesoma yote mzee...ila na wewe ulikuwa leiziafea sana...mwanaume hutakiwi kuzidiwa sauti na mwanamke...yaani mwanamke anakataaje tu from nowhere...na wewe unakubali tu amekataa...

Hapo hakuna cha kusamehe wala nini...ulishamsamehe siku mingi...ila kama zamani hakuna...

Sasa Mkuu unaweza kumlazimisha mtu kusoma, je alienda tu akakaa darasani kisha muda wa Kutoka ukifika akatoka, kuna mambo unaweza mlazimisha mtu Mkuu ila sio ishu ya kusoma.
 
Mkuu niko na dogo (mwanangu) pembeni kalala. Kisa uluchopitia funzo kwako na kwa wengine.. Sio kila msichana yupo hivyo lkn wengi ndivyo walivyo na matokeo yake wanakuja kuomba msamaha. Wewe msamehe na uendelee na life yako. Ila chonde chonde usimpe nafasi.. Wallah tutakuzika..
Keep my word..


Sawa Mkuu hata mimi hill kisa siwezi Fanya, hawa viumbe sijui wanataka nini tu maishani mwao
 
Pole sana...umeoa sasa au hautaman hata kuoa tena


Asante Mkuu, bado Mkuu, ingawa nipo Kwenye mahusiano ila bado hatujapanga mambo ya ndoa, ila kusema ukweli nimekuwa muoga sana linapokuja swala la wanawake, hata huyu niliye naye nakaa naye kwa tahadhri Kubwa sana
 
BAADHI YA WANAWAKE SIJUI HUWA MNATAKA NINI KWA KWELI
Wajitafakari sana.

Ila mkuu kama una moyo ww msaidie tu ila isirudiane nae ni mzazi mwenzio huyo akipotea watoto wako watakuwa wamepoteza mama yao.

Sawa Mkuu ila alishaendelea na maisha yake kwani kama nilivyosema ana Mtoto na mtu mwingine Sasa ingawa nasikia huyo aliyezaa naye kamwavhia Mtoto katokomea.
 
Asante Mkuu, bado Mkuu, ingawa nipo Kwenye mahusiano ila bado hatujapanga mambo ya ndoa, ila kusema ukweli nimekuwa muoga sana linapokuja swala la wanawake, hata huyu niliye naye nakaa naye kwa tahadhri Kubwa sana
Usikae nae muda mrefu piga-tambaa utafurahia maisha
 
Hivi, it's a true story ama!, pole sana nimesoma yote kama movie vile ,ila huyo Dada ana roho ngumu sana, anyway wasalimie hao madogo


Yeah ,it is a very true story mkuu. Acha kabisa, kuna watu wana roho aisee, sema marafiki, Ndugu sio watu wa kuwasikiliza sana maana wanaweza kukupoteza maxima. Nitawasalimia mkuu
 
Inasikitisha sana ila muhimu ni kusamehe na kusonga mbele, ipo nguvu kubwa sana nyuma ya msamaha.


Sawa nitajitahidi Mkuu, ila dah, unajitoa kwa mtu 100% halafu inakuja kukufanyia hv, inauma sana Mkuu we acha tu sikia kwa wengine tu.
 
Sawa nitajitahidi Mkuu, ila dah, unajitoa kwa mtu 100% halafu inakuja kukufanyia hv, inauma sana Mkuu we acha tu sikia kwa wengine tu.
Halafu mtu mwenyewe uliyejitoa ni form4 failure? Unless alikuwa na wezere la kutosha
 
Je alikoenda utamu aliupata? Maana kazalishwa katelekezwa na mtoto
Nyie mlikuwa mnapiga huku mnachat whatsapp. One Mama Chibu alivyotulizwa na unemployed Ankali. Wanawake wanataka pumzi sio kugusa gusa
 
Ukiona unakaribia kumjua mwanamke, ujue unakaribia kufa. Don't trust a woman
Cha msingi na cha muhimu. Kama mwenzako hachepuki ni bora na wewe usichepuke. Hii issue imeanzia kwenye "kuchepuka". Kumbuka linapokuja kwenye suala la kuchepuka kuna wengine usamehe na wengine hawasamehe.
Jamaa amsamehe ila asikubali kurudiana naye. Ila akumbuke huyo ni mzazi mwenzake hiyo haipingiki kwasababu watoto wanawaunganisha. Na ipo siku watakutana tu

Ila nilishaenda mpaka kwao na nikamuomba msamaha mbele ya mama yake yakaisha. On top if that baada ya kufuma ile sms nilimuomba msamaha sana ila akakata, ndo kisa cha kuondoka na kwenda kwao.
 
Ila nilishaenda mpaka kwao na nikamuomba msamaha mbele ya mama yake yakaisha. On top if that baada ya kufuma ile sms nilimuomba msamaha sana ila akakata, ndo kisa cha kuondoka na kwenda kwao.
Mwanamke huwa hasamei akikubamba na sms/whatsapp au akikufumania live. Niliwahi kukutwa na kondomu 2004 mfuko wa suruali tukiwa wachumba mpaka leo (November 2019) anakumbushia.
NB:
Usimuombe mwanamke msamaha maana hutasemehewa asilani japo wakat wa tukio atajidai kakusamehe.
 
Daah, pole Sana mkuu, pia hongera kwa uwasilishaji mzuri wa bandiko!!

Kweli hii story imenigusa Sana Mimi km kijana, Tena sijaoa napata wakati mgumu Sana kuhusu ndoa ,

Kikubwa walee watoto vizuri kbsa, hao upande wa pili achana nao na jiepushe nao mbali sanaaaaa Tena sanaaaaa, Maana machungu,tabu na shida wanazopitia Sasa hata kwa mganga wanaweza enda kukuroga,

Mungu akutangulie ktk majukumu yako na akutunze na familia yako!!


Asante boss., ila hiki kisa kisikufanye ushindwe Kutafuta mwenza wa maisha yako Mkuu, sio wanawake wote Wako kama huyu wa kwangu Mkuu.
 
Back
Top Bottom