Kiberiti Kidogo
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 575
- 918
Hahahaaaaaa. Kiongozi utakuwa unakunywa mataputapu sio bureHabari jamani? Mimi huwa nashangaa sana. Nikiwa mzima nazungumza kiingereza muda wote. Ila nikinywaa tuu nazungumza kihaya sana ata kwa asiye muhaya. Ila wengine ni tofauti naona. Wakila vitu ni kiingereza mwanzo mwisho. Nini sababu?!?
komoni [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]wahaya hata mkinywa bia mnajitangaza
mmenishinda
Katoto kazuri [emoji11][emoji11]komoni [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji4][emoji4] [emoji4] [emoji6] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Katoto kazuri [emoji11][emoji11]
Kako?[emoji4][emoji4] [emoji4] [emoji6] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Hapana ka jirani yanguKako?
Hapana ka jirani yangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Nataka nikakaazime hakoHahaha eti ka jirani. Ila majirani sijui kwann wanavitoto vizuri. Ujue ata mimi jiran yangu anakatoto kazuri sana.
KizaliaHabari jamani? Mimi huwa nashangaa sana. Nikiwa mzima nazungumza kiingereza muda wote. Ila nikinywaa tuu nazungumza kihaya sana ata kwa asiye muhaya. Ila wengine ni tofauti naona. Wakila vitu ni kiingereza mwanzo mwisho. Nini sababu?!?