Kila Nikila Kilaji Nazungumza Kihaya, Wengine inakuaje wakila wanazungumza Kiingereza?

Habari jamani? Mimi huwa nashangaa sana. Nikiwa mzima nazungumza kiingereza muda wote. Ila nikinywaa tuu nazungumza kihaya sana ata kwa asiye muhaya. Ila wengine ni tofauti naona. Wakila vitu ni kiingereza mwanzo mwisho. Nini sababu?!?
Ulinusulika kwenye Mv Bukoba?itakua ndiyo sababu

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…