Kila nikilewa mke wangu ananipotezea funguo ya gari

Kila nikilewa mke wangu ananipotezea funguo ya gari

Tatizo ni ujinga wetu wanaume.
Mimi nilikuwa nikilewa nasachiwa.
Unakuta hela umezipanga hivi, ukiamka unakuta zimepanguliwa na kuficha mbali naogopa maana konyagi na kvant, kusahau ni sekunde tu.
Simu inachezewa mobile money Hadi pin inafungwa.
Dah.
Siku nyingine naamka kesho yake ananiambia Jana ulileta samaki wakubwa wazuri sijui ulitoa wapi. Watoto wananiambia hujaja na samaki, yeye ndio alinunua alivyoenda sokoni.
Siku nyingine unaamka magoti yanauma kishenzi na viwiko vya mikono. Kumbe watoto wanakuambia anachukua panga, anageuza kule hamna makali anakugonga gonga. Hapo Kvant bapa mbilinna safari kama saba ziko kichwani hujitambui..... Pombe hizi
Yaani alikuwa ananiconfuse TU na kweli kidogo nichizike.
 
Tatizo ni ujinga wetu wanaume.
Mimi nilikuwa nikilewa nasachiwa.
Unakuta hela umezipanga hivi, ukiamka unakuta zimepanguliwa na kuficha mbali naogopa maana konyagi na kvant, kusahau ni sekunde tu.
Simu inachezewa mobile money Hadi pin inafungwa.
Dah.
Siku nyingine naamka kesho yake ananiambia Jana ulileta samaki wakubwa wazuri sijui ulitoa wapi. Watoto wananiambia hujaja na samaki, yeye ndio alinunua alivyoenda sokoni.
Yaani alikuwa ananiconfuse TU na kweli kidogo nichizike.
Waooh!! Sisterhood is proud of her.
 
Waooh!! Sisterhood is proud of her.
b23f6eea888ab784020890c9cef7b353.jpg
 
Tatizo ni ujinga wetu wanaume.
Mimi nilikuwa nikilewa nasachiwa.
Unakuta hela umezipanga hivi, ukiamka unakuta zimepanguliwa na kuficha mbali naogopa maana konyagi na kvant, kusahau ni sekunde tu.
Simu inachezewa mobile money Hadi pin inafungwa.
Dah.
Siku nyingine naamka kesho yake ananiambia Jana ulileta samaki wakubwa wazuri sijui ulitoa wapi. Watoto wananiambia hujaja na samaki, yeye ndio alinunua alivyoenda sokoni.
Yaani alikuwa ananiconfuse TU na kweli kidogo nichizike.

Mpaka analeta samaki home baada ya kukuibia hela na kukudanganya wewe ndo ulileta, ina maana wewe ni bahili kweli kweli unakunywa tu hata mahitaji I home hujali!
 
Mpaka analeta samaki home baada ya kukuibia hela na kukudanganya wewe ndo ulileta, ina maana wewe ni bahili kweli kweli unakunywa tu hata mahitaji I home hujali!
Hunijui wewe, unaongea TU, ubaya ni kuwa Huwa natoaga vipande vipande naeka humu maana kuandika simulizi siwezi.
Mimi wakati nafanya kazi mshahara wote alikuwa anachukua mwanamke. Halafu kwasababu Kuna viposho na visafiri visivyo na kichwa Wala miguu..... Mimi ndio naishi kupitia hiyo.
 
Back
Top Bottom